Mwanzo 1
Kuumbwa ulimwengu 1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia. 2 Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu…
Kuumbwa ulimwengu 1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia. 2 Dunia ilikuwa bila umbo na tupu. Giza lilikuwa limefunika vilindi vya maji na roho ya Mungu ilikuwa ikitanda juu…
1 Hivyo ndivyo mbingu na dunia zilivyokamilika pamoja na vitu vyote vilivyomo. 2 Siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyofanya; siku hiyo ya saba Mungu akapumzika baada ya…
Uasi wa binadamu 1 Nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini walioumbwa na Mwenyezi-Mungu. Basi, nyoka akamwambia huyo mwanamke, “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote bustanini?” 2…
Kaini na Abeli 1 Adamu akalala na Hawa mkewe, naye akapata mimba, akamzaa Kaini.Hawa akasema, “Nimepata mtoto wa kiume kwa msaada wa Mwenyezi-Mungu!” 2 Halafu akamzaa Abeli nduguye. Abeli alikuwa…
Wazawa wa Adamu 1 Ifuatayo ni orodha ya wazawa wa Adamu. Wakati Mungu alipomuumba binadamu, alimuumba kwa mfano wake. 2 Aliwaumba mwanamume na mwanamke, kisha akawabariki na kuwapa jina “Binadamu.”…
Uovu wa binadamu 1 Binadamu walipozidi kuongezeka duniani na kuzaa wasichana, 2 watoto wa kiume wa Munguwaliwaona hao wasichana wa watu kuwa ni wazuri, wakawachukua wale waliowapenda kuwa wake zao….
Gharika kuu 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Noa, “Ingia ndani ya safina wewe pamoja na jamaa yako yote, kwa maana, kati ya watu wote wanaoishi nyakati hizi zako, nimekuona wewe peke yako…
Mwisho wa gharika 1 Kisha Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa pamoja naye ndani ya safina. Basi, Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji…
Mungu anafanya agano na Noa 1 Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni, muongezeke, mkaijaze nchi. 2 Wanyama wote, ndege wote wa angani, viumbe wote watambaao juu ya nchi na…
Wazawa wa Noa 1 Baada ya gharika, watoto wa Noa, Shemu, Hamu na Yafethi, walipata watoto wa kiume na wa kike. Hii ndiyo orodha ya wazawa wao: 2 Watoto wa…