1 Mambo ya Nyakati 21

Daudi anahesabu Waisraeli 1 Shetani akajitokeza kuwataabisha Waisraeli, akamshawishi Daudii awahesabu watu. 2 Hivyo, Daudi akamwambia Yoabu na wale makamanda wengine, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli, kutoka Beer-sheba mpaka Dani. Nileteeni ripoti…

1 Mambo ya Nyakati 22

1 Basi Daudi akasema, “Hapa ndipo mahali ambapo nyumba ya Mwenyezi-Mungu itakuwa, na hii ndiyo madhabahu ambapo watu wa Israeli watatolea sadaka ya kuteketezwa.” Matayarisho ya kujenga hekalu 2 Daudi…

1 Mambo ya Nyakati 23

1 Daudi alipokuwa mzee wa miaka mingi, alimtawaza Solomoni mwanawe awe mfalme wa Israeli. Kazi ya Walawi 2 Mfalme Daudi aliwakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani na Walawi. 3 Walawi…

1 Mambo ya Nyakati 24

Kazi za makuhani 1 Hayo ndiyo makundi ya wazawa wa Aroni. Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari. 2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao,…

1 Mambo ya Nyakati 25

Waimbaji wa hekaluni 1 Mfalme Daudi na viongozi wa Walawi, waliwateua baadhi ya wana wa Asafu, wa Hemani, na wa Yeduthuni, kuongoza katika huduma ya kutabiri kwa kutumia vinubi, na…

1 Mambo ya Nyakati 26

Walinzi wa hekalu 1 Haya ndiyo makundi ya Walawi waliofanya kazi za ubawabu. Kutoka katika ukoo wa Kora, alikuwa Meshelemia mwana wa Kore wa jamaa ya Asafu. 2 Yeye alikuwa…

1 Mambo ya Nyakati 27

Taratibu za majeshi 1 Hii ndiyo orodha ya wakuu wa wazawa wa Israeli waliokuwa viongozi wa jamaa, na makamanda wa maelfu na mamia na maofisa wao waliomtumikia mfalme Daudi kuhusu…

1 Mambo ya Nyakati 28

Maagizo ya Daudi kuhusu hekalu 1 Mfalme Daudi akawakusanya huko Yerusalemu wakuu wote wa Israeli: Wa makabila, majemadari na vikosi waliomtumikia mfalme, makamanda wa maelfu, makamanda wa mamia, wasimamizi wa…

1 Mambo ya Nyakati 29

Matoleo ya kujengea hekalu 1 Mfalme Daudi akaumbia ule mkutano wote uliojumuika, “Solomoni, mwanangu, ambaye peke yake amechaguliwa na Mungu, bado yungali mdogo, na hana uzoefu mwingi, na kazi hii…