1 Wamakabayo 1
Aleksanda Mkuu 1 Aleksanda wa Makedonia, mwana wa Filipo, aliyetoka nchini Kitimu, alimshambulia na kumshinda Dario, mfalme wa Persia na Media, akawa mfalme badala yake. Wakati huo Aleksanda alikwisha kuwa…
Aleksanda Mkuu 1 Aleksanda wa Makedonia, mwana wa Filipo, aliyetoka nchini Kitimu, alimshambulia na kumshinda Dario, mfalme wa Persia na Media, akawa mfalme badala yake. Wakati huo Aleksanda alikwisha kuwa…
Uaminifu wa Matathia 1 Wakati huo, Matathia mwana wa Yohane na mjukuu wa Simeoni, kuhani wa ukoo wa Yoaribu, alitoka Yerusalemu akaenda kukaa Modeini. 2 Alikuwa na watoto watano wa…
Ushindi wa awali wa Yuda 1 Yuda Makabayo akachukua nafasi ya baba yake, Matathia, akawa kamanda wa jeshi. 2 Ndugu zake wote na wafuasi amini wa baba yake wakamuunga mkono,…
1 Gorgia akawachukua askari wa miguu 5,000 na wapandafarasi wenye uzoefu 1,000, akatoka nao usiku 2 kwenda kulishambulia ghafla jeshi la Wayahudi; walioongoza njia walikuwa walinzi wa ngome ya Yerusalemu….
Vita na mataifa jirani 1 Mataifa jirani yaliposikia kwamba Wayahudi walikuwa wamejenga upya madhabahu na hekalu limewekwa wakfu kama kwanza yaliwaka hasira, 2 yakaamua kuwaangamiza wazawa wa Yakobo waliokuwa wanaishi…
Kifo cha Antioko wa Nne 1 Mfalme Antioko wa Nne alipokuwa anapita Mesopotamia mikoa ya nyanda za juu alisikia habari za mji Elimaisi katika nchi ya Persia, ambao ulisifika sana…
Kuhani mkuu Alkimo na kampeni ya Nikanori 1 Mwaka 151,Demetrio mwana wa Seleuko aliondoka Roma, akawasili katika mji mmoja wa mwambao wa Bahari ya Mediteranea akiwa na watu wachache. Huko…
Mkataba na Waroma 1 Yuda alikuwa amesikia sifa ya Waroma, kwamba walikuwa na nguvu sana kijeshi. Alijua kwamba waliwakaribisha wale wote waliojiunga nao kama washirika, na kwamba wale waliojumuika nao…
Kifo cha Yuda 1 Demetrio aliposikia kwamba Nikanori na jeshi lake wameangamizwa vitani, akawapeleka tena nchini Yudea Bakide na Alkimo, pamoja na vikosi vya kulia vya jeshi lake. 2 Wakapita…
Aleksanda Epifane amfanya Yonathani kuhani mkuu 1 Mwaka 160,Aleksanda Epifane,mwana wa Antioko wa Nne, aliwasili Tolemai na kuuteka mji huo. Watu wakamkaribisha, naye akawa mfalme wao. 2 Mfalme Demetrio alipopata…