2 Mambo ya Nyakati 1

Mfalme Solomoni aomba Hekima 1 Solomoni, mwanawe mfalme Daudi, alijiimarisha katika utawala wake, naye Mwenyezi-Mungu, Mungu wake alikuwa pamoja naye, akambariki na kumfanya awe mkuu sana. 2 Mfalme Solomoni aliwaita…

2 Mambo ya Nyakati 2

Matayarisho ya kujenga Hekalu 1 Mfalme Solomoni alikata shauri kujenga nyumba ambamo Mwenyezi-Mungu ataabudiwa, na pia kujijengea yeye mwenyewe jumba la kifalme. 2 Alipanga wanaume 70,000 wawe wachukuzi wa mizigo,…

2 Mambo ya Nyakati 3

1 Kisha Solomoni alianza kujenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu katika Yerusalemu juu ya mlima Moria ambapo Mwenyezi-Mungu alimtokea Daudi baba yake, mahali ambapo Daudi alikuwa amepachagua, kwenye kiwanja cha kupuria cha…

2 Mambo ya Nyakati 4

Vifaa vya Hekalu 1 Mfalme Solomoni alitengeneza madhabahu ya shaba ya mraba mita 9 kwa mita 9, na kimo chake mita 4.5. 2 Kisha, alitengeneza tangi la maji la mviringo,…

2 Mambo ya Nyakati 5

1 Hivyo, Solomoni akamaliza kazi zote zilizohusu nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Kisha Solomoni akaleta mali yote Daudi baba yake aliyokuwa ameiweka wakfu, yaani: Fedha, dhahabu na vyombo; akaiweka katika hazina za…

2 Mambo ya Nyakati 6

Hotuba ya mfalme Solomoni 1 Ndipo Solomoni akasema, “Mwenyezi-Mungu alisema ya kwamba atakaa katika giza nene. 2 Hakika nimekujengea nyumba tukufu, mahali pa makao yako ya milele.” 3 Kisha Solomoni…

2 Mambo ya Nyakati 7

Hekalu lawekwa wakfu 1 Solomoni alipomaliza sala yake, moto ulishuka kutoka mbinguni na kuchoma sadaka na tambiko za kuteketeza zilizotolewa, kisha utukufu wa Mwenyezi-Mungu ukaijaza nyumba. 2 Kwa kuwa utukufu…

2 Mambo ya Nyakati 8

Mafanikio ya Solomoni 1 Miaka ishirini, ambayo Solomoni aliijenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu na ikulu ilipokwisha kupita, 2 Solomoni aliijenga upya miji aliyopewa na Huramu, halafu akawapa Waisraeli miji hiyo waishi…

2 Mambo ya Nyakati 9

Ziara ya malkia wa Sheba 1 Malkia wa Sheba aliposikia sifa za Solomoni, aliwasili Yerusalemu ili kumjaribu Solomoni kwa maswali magumu. Alifuatana na msafara wa watu, pamoja na ngamia waliobeba…

2 Mambo ya Nyakati 10

Uasi wa makabila ya Kaskazini 1 Basi, Rehoboamu akaenda Shekemu, ambako Waisraeli wote walikuwa wamekusanyika ili kumtawaza awe mfalme. 2 Naye Yeroboamu mwana wa Nebati alipopata habari kuhusu tendo hilo…