2 Samueli 1
Daudi anahabarishwa juu ya kifo cha Shauli 1 Baada ya kifo cha Shauli, Daudi alirudi baada ya kuwashinda Waamaleki, akakaa Siklagi kwa muda wa siku mbili. 2 Siku iliyofuata, mtu…
Daudi anahabarishwa juu ya kifo cha Shauli 1 Baada ya kifo cha Shauli, Daudi alirudi baada ya kuwashinda Waamaleki, akakaa Siklagi kwa muda wa siku mbili. 2 Siku iliyofuata, mtu…
Daudi anafanywa mfalme wa Yuda 1 Baada ya mambo haya, Daudi alimwomba Mwenyezi-Mungu shauri, akasema, “Je, niende kwenye mji mmojawapo wa miji ya Yuda?” Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Nenda!” Daudi akamwuliza, “Niende…
1 Kulikuwa na vita vya muda mrefu kati ya watu walioiunga mkono jamaa ya Shauli, na wale walioiunga mkono jamaa ya Daudi. Lakini Daudi alizidi kupata nguvu zaidi na zaidi,…
Ishboshethi anauawa 1 Ishboshethi mwana wa Shauli, aliposikia kwamba Abneri ameuawa huko Hebroni, alivunjika moyo na watu wote wa Israeli walifadhaika. 2 Ishboshethi mwana wa Shauli, alikuwa na watu wawili…
Daudi awa mfalme wa Israeli na Yuda 1 Kisha makabila yote ya Israeli yalimwendea Daudi huko Hebroni, na kumwambia, “Tazama, sisi ni mwili na damu yako. 2 Hapo awali, Shauli…
Sanduku la agano lapelekwa Yerusalemu 1 Kwa mara nyingine, Daudi aliwakusanya wale askari bora wa Israeli, jumla yao 30,000. 2 Daudi aliondoka akaenda pamoja na watu wake wote aliokuwa nao…
Unabii wa Nathani kwa Daudi 1 Wakati mfalme Daudi alipokuwa akikaa katika ikulu, naye Mwenyezi-Mungu amemuwezesha kuwa na amani na adui zake kila upande, 2 mfalme Daudi akamwambia nabii Nathani,…
Ushindi wa kijeshi wa Daudi 1 Baada ya hayo, Daudi aliwapiga, akawashinda Wafilisti. Akauteka mji wa Metheg-ama kutoka utawala wa Wafilisti. 2 Kisha aliwashinda Wamoabu. Aliwapanga katika mistari mateka hao,…
Daudi na Mefiboshethi 1 Siku moja, Daudi aliuliza, “Je, kuna mtu yeyote aliyesalia katika jamaa ya Shauli? Kama yuko, ningependa kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani.” 2 Kulikuwa na mtumishi…
Daudi awashinda Waamori na Waashuru 1 Baada ya hayo mfalme Nahashi wa Waamori akafa, na mwanawe aliyeitwa Hanuni akawa mfalme badala ya baba yake. 2 Mfalme Daudi akasema, “Nitamtendea wema…