2 Wafalme 11

Malkia Athalia wa Yuda 1 Mara Athalia, mamake mfalme Ahazia, alipoona kuwa mwanawe ameuawa, alitoka, akaangamiza jamii yote ya kifalme. 2 Lakini Yehosheba binti ya mfalme Yoramu, dada yake Ahazia,…

2 Wafalme 12

Mfalme Yoashi wa Yuda 1 Katika mwaka wa saba wa enzi ya mfalme Yehu wa Israeli Yoashi alianza kutawala Yuda huko Yerusalemu, naye akatawala kwa muda wa miaka arubaini huko…

2 Wafalme 13

Mfalme Yehoahazi wa Israeli 1 Katika mwaka wa ishirini na tatu wa enzi ya mfalme Yoashi wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala Israeli, akaendelea kutawala huko Samaria muda…

2 Wafalme 14

Mfalme Amazia wa Yuda 1 Katika mwaka wa pili wa enzi ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi huko Israeli, Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda alianza kutawala. 2 Alipoanza kutawala…

2 Wafalme 15

Mfalme Azaria wa Yuda 1 Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda alianza kutawala. 2 Alikuwa na…

2 Wafalme 16

Mfalme Ahazi wa Yuda 1 Katika mwaka wa kumi na saba wa enzi ya Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda alianza kutawala….

2 Wafalme 17

Mfalme Hoshea wa Israeli 1 Katika mwaka wa kumi na mbili wa enzi ya mfalme Ahazi wa Yuda, Hoshea mwana wa Ela alianza kutawala Israeli, akatawala huko Samaria kwa miaka…

2 Wafalme 18

Mfalme Hezekia wa Yuda 1 Katika mwaka wa tatu wa enzi ya Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala; 2 alikuwa…

2 Wafalme 19

Mfalme aomba shauri kwa Isaya 1 Mfalme Hezekia alipopata habari hizo, alirarua mavazi yake, akavaa gunia akaingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. 2 Aliwaamuru Eliakimu, mkuu wa ikulu, Shebna, katibu, na…

2 Wafalme 20

Kuugua na kupona kwa mfalme Hezekia 1 Wakati huo Hezekia aliugua sana karibu na kufa. Ndipo nabii Isaya, mwana wa Amozi alipomwendea na kumwambia, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu; ‘Panga mambo…