2 Wamakabayo 11

Yuda Makabayo amshinda Lisia 1 Mara baada ya hayo, si muda mrefu baada ya Timotheo kushindwa, Lisia, mlinzi na ndugu ya mfalme na mkuu wa serikali, alipata habari hizo. Alikasirika…

2 Wamakabayo 12

Wayahudi wa Yopa wauawa 1 Makubaliano ya amani kati ya Wayahudi na Wasiria yalipokamilika, Lisia alirejea kwa mfalme na Wayahudi wakarudia kazi zao za shambani. 2 Lakini baadhi ya wakuu…

2 Wamakabayo 13

Menelao auawa 1 Mwaka 149,Yuda Makabayo na wafuasi wake walipata habari kwamba Antioko Eupatori alikuwa anakuja na jeshi kubwa kuikabili Yudea, 2 na kwamba Lisia, yule mlinzi wa mfalme na…

2 Wamakabayo 14

Alkimo amsengenya Yuda 1 Miaka mitatu baadaye, Yuda na watu wake walipata habari kwamba Demetrio, mwana wa Seleuko alikuwa ameingia bandarini Tripoli akiwa na jeshi lenye nguvu na msururu wa…

2 Wamakabayo 15

Mpango wa kikatili wa Nikanori 1 Nikanori aliposikia kwamba Yuda na watu wake walikuwa sehemu za Samaria, alifanya mpango kuwashambulia siku ya Sabato, wakati ambapo walikuwa wamepumzika. 2 Wayahudi waliokuwa…