Baruku 1

Shabaha ya kitabu hiki 1 Haya ni maneno yaliyoandikwa na Baruku mwana wa Neria, mjukuu wa Maaseya, wa ukoo wa Sedekia, Hasadia na Hilkia. Baruku aliandika haya huko Babuloni 2…

Baruku 2

1 “Kwa hiyo, Bwana ametekeleza sasa jambo lile alilotamka dhidi yetu, na dhidi ya mahakimu wetu wanaoongoza Israeli, dhidi ya wafalme wetu, wakuu wetu na watu wa Israeli na Yuda….

Baruku 3

1 “Ee Bwana, Mungu Mwenye Nguvu, Mungu wa Israeli, tunakulilia wewe kwa moyo uliotaabika na hoi. 2 Usikilize ee Bwana, na utuhurumie, maana sisi tumetenda dhambi mbele yako. 3 Wewe…

Baruku 4

1 Hekima ni kitabu cha amri za Mungu, yeye ni sheria idumuyo milele. Wanaomshikilia Hekima wataishi, lakini watakaomwacha watakufa. 2 Geuka, ewe Yakobo, umchukue Hekima; tembea kuelekea mng’ao wa mwanga…

Baruku 5

1 Ee Yerusalemu, vua vazi lako la huzuni na mateso, ukavae milele uzuri wa utukufu wa Mungu. 2 Jivike joho la uadilifu utokao kwa Mungu; vaa kichwani taji la utukufu…

Baruku 6

Barua ya Yeremia 1 Hii ni nakala ya barua ambayo Yeremia aliwapelekea Waisraeli, muda mfupi tu kabla ya kuchukuliwa kwao mateka huko Babuloni na mfalme wa Babuloni. Barua yenyewe ina…