Esta 1
Malkia Vashti aasi amri ya mfalme Ahasuero 1 Mfalme Ahasuero,alipotawala ufalme wake ulikuwa mikoa 127, toka India hadi Kushi. 2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. 3…
Malkia Vashti aasi amri ya mfalme Ahasuero 1 Mfalme Ahasuero,alipotawala ufalme wake ulikuwa mikoa 127, toka India hadi Kushi. 2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. 3…
Esta anateuliwa kuwa malkia 1 Baadaye, hasira yake ilipokwisha tulia, mfalme Ahasuero alimkumbuka Vashti, akawa anatafakari juu ya ukaidi wake na hatua iliyochukuliwa dhidi yake. 2 Basi, watumishi wake, waliokuwa…
Hamani ala njama kuwaangamiza Wayahudi 1 Baada ya mambo hayo, mfalme Ahasuero alimpandisha cheo Hamani, akawa waziri mkuu. Hamani alikuwa mwanawe Hamedatha, na wa uzao wa Agagi. 2 Mfalme aliamuru…
Mordekai aomba msaada wa Esta 1 Mordekai alipojua yote yaliyotukia, alizirarua nguo zake, akavaa vazi la gunia, na kujitia majivu. Kisha, akapita katikati ya mji akilia kwa sauti ya uchungu….
Esta awaalika mfalme na Hamani karamuni 1 Siku ya tatu ya mfungo wake, Esta alivalia mavazi yake ya kimalkia, akaenda akasimama katika ua wa ndani wa nyumba ya mfalme, kuelekea…
Mordekai atunukiwa heshima na mfalme 1 Usiku huo, mfalme hakupata usingizi. Basi, akaamuru kitabu cha kumbukumbu za matukio ya kila siku kiletwe, nacho kikasomwa mbele yake. 2 Ikaonekana ilivyoandikwa jinsi…
1 Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta. 2 Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mfalme akamwuliza tena Esta, “Sasa, malkia Esta, unataka nini? Niambie, nawe…
Wayahudi waruhusiwa kujihami 1 Siku hiyohiyo, mfalme Ahasuero alimkabidhi malkia Esta mali yote ya Hamani, adui ya Wayahudi. Esta akamjulisha mfalme kwamba Mordekai ni jamaa yake. Basi, tangu wakati huo,…
Wayahudi wawashinda adui zao 1 Siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, ilipofika, siku ambayo tangazo la mfalme lingetekelezwa, na maadui wa…
Ukuu wa Ahasuero na Mordekai 1 Mfalme Ahasuero alitoza kodi watu wa bara na pwani. 2 Matendo yake yote makuu na ya ajabu, pamoja na simulizi kamili kuhusu jinsi alivyompandisha…