Ezekieli 11
Dhambi ya Yerusalemu 1 Roho ya Mungu ikaninyanyua na kunipeleka mpaka lango la mashariki la nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko nikawaona watu ishirini na watano wakiwamo Yaazania mwana wa Azuri na…
Dhambi ya Yerusalemu 1 Roho ya Mungu ikaninyanyua na kunipeleka mpaka lango la mashariki la nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Huko nikawaona watu ishirini na watano wakiwamo Yaazania mwana wa Azuri na…
Nabii kama mkimbizi 1 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia: 2 “Wewe mtu! Wewe unakaa kati ya watu waasi. Wana macho lakini hawaoni; wana masikio lakini hawasikii. 3 Wao ni watu waasi….
Manabii wa uongo 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu, wakaripie manabii wa Israeli wanaotangaza mambo ambayo wameyafikiria wao wenyewe. Waambie wasikilize yale ambayo mimi Mwenyezi-Mungu ninasema. 3 Mimi…
Mungu analaumu ibada za sanamu 1 Siku moja baadhi ya wazee wa Israeli walinitembelea kutaka shauri. 2 Basi neno la Mwenyezi-Mungu likanijia: 3 “Wewe mtu, watu hawa wamekubali mioyo yao…
Mfano wa mzabibu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Je, mti wa mzabibu ni bora kuliko miti mingine msituni? 3 Je, mti wake wafaa kutengenezea kitu chochote? Je,…
Mji wa Yerusalemu si mwaminifu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu, ujulishe mji wa Yerusalemu machukizo yake. 3 Uuambie kuwa, mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nauambia Yerusalemu: Kwa asili wewe…
Mfano wa tai na mzabibu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Tega kitendawili, uwaambie fumbo Waisraeli. 3 Waambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kulikuwa na tai mmoja…
Mungu humhukumu kila mtu kadiri ya matendo yake 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Kwa nini mnarudiarudia methali hii katika nchi ya Israeli: ‘Akina baba wamekula zabibu mbichi, lakini meno…
Maombolezo 1 Mungu aliniambia niimbe utenzi huu wa maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli: 2 Mama yenu alikuwa simba wa fahari miongoni mwa simba wengine. Alikaa kati ya simba vijana, akawalisha…
Mungu anawaongoza Waisraeli ingawa ni waasi 1 Mwaka wa saba tangu kuhamishwa kwetu, siku ya kumi ya mwezi wa tano, baadhi ya wazee wa Israeli walikuja kumwuliza Mwenyezi-Mungu shauri, wakaketi…