Ezra 1
Wayahudi wanaamriwa kurudi 1 Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi, mfalme wa Persia, ili neno la Mwenyezi-Mungu alilolinena kwa njia ya nabii Yeremia litimie, Mwenyezi-Mungu alimfanya Koreshi, mfalme…
Wayahudi wanaamriwa kurudi 1 Mnamo mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi, mfalme wa Persia, ili neno la Mwenyezi-Mungu alilolinena kwa njia ya nabii Yeremia litimie, Mwenyezi-Mungu alimfanya Koreshi, mfalme…
Watu waliorudi kutoka uhamishoni 1 Wafuatao ni watu wa mkoani waliotoka utumwani ambao Nebukadneza mfalme wa Babuloni aliwapeleka mateka Babuloni, wakarudi mjini Yerusalemu na nchini Yuda. Kila mtu alirudi mjini…
Kuabudu kunaanza tena 1 Baadaye mwezi wa saba ulipofika, na watu wa Israeli wakiwa wamekwisha kaa katika miji yao, wote walikusanyika pamoja mjini Yerusalemu. 2 Yeshua, mwana wa Yosadaki, pamoja…
Ujenzi wa hekalu wapingwa 1 Kisha maadui wa watu wa Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanalijenga upya hekalu la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, 2 walimwendea Zerubabeli…
1 Wakati huo, manabii wawili, Hagai na Zekaria, mwana wa Ido, waliwatolea unabii Wayahudi waliokuwa wanakaa Yuda na Yerusalemu, katika jina la Mungu wa Israeli. 2 Nao Zerubabeli, mwana wa…
Amri ya Koreshi yapatikana 1 Mfalme Dario alitoa amri na uchunguzi ulifanywa mjini Babuloni katika nyumba ya kumbukumbu za kifalme. 2 Lakini kitabu kilipatikana mjini Ekbatana katika mkoa wa Media,…
Ezra awasili Yerusalemu 1 Baadaye, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta wa Persia, palikuwa na mtu mmoja aliyeitwa Ezra. Ezra alikuwa mwana wa Seraya, mwana wa Azaria, mwana wa Hilkia,…
Watu waliorudi kutoka uhamishoni 1 Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa koo za watu waliorudi pamoja nami Ezrakutoka Babuloni, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta: 2 Gershomu, wa ukoo wa…
Waisraeli wanaoa wanawake wa kigeni 1 Baada ya mambo haya yote kutendeka, viongozi walinijia na kunipa taarifa ifuatayo: “Watu wa Israeli, makuhani na Walawi hawajajitenga na wakazi wa nchi ambao…
Kuoa wanawake wa kigeni ni marufuku 1 Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama huku analia na kujiangusha kifudifudi mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa watu wa Israeli, wanaume,…