Habakuki 1

1 Kauli ya Mungu aliyoiona nabii Habakuki. Lalamiko la nabii 2 “Ee Mwenyezi-Mungu, nitakulilia mpaka lini, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini nalia: ‘Dhuluma’ nawe hutuokoi? 3 Kwa nini wanifanya…

Habakuki 2

1 Mimi nitasimama mahali pa kuchungulia, na kukaa juu mnarani; nitakaa macho nione ataniambia nini, atajibu nini kuhusu lalamiko langu.” Mungu anamjibu Habakuki 2 Kisha, Mwenyezi-Mungu akanijibu hivi: “Yaandike maono…

Habakuki 3

Sala ya Habakuki 1 Sala ya nabii Habakuki: 2 Ee Mwenyezi-Mungu, nimesikia juu ya fahari yako, juu ya matendo yako, nami naogopa. Uyafanye tena mambo hayo wakati wetu; uyafanye yajulikane…