Hesabu 31

Vita vitakatifu dhidi ya Midiani 1 Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose, akamwambia, 2 “Walipize kisasi Wamidiani mambo waliyowatenda Waisraeli; kisha wewe utafariki.” 3 Basi Mose akazungumza na watu akawaambia, “Watayarisheni watu…

Hesabu 32

Makabila ya mashariki ya Yordani 1 Makabila ya Reubeni na Gadi yalikuwa na mifugo mingi sana. Basi, walipoona kwamba eneo la Yazeri na Gadi lilifaa kwa mifugo, 2 waliwaendea Mose,…

Hesabu 33

Safari kutoka Misri hadi Moabu 1 Vifuatavyo ni vituo ambavyo Waisraeli walipiga kambi walipotoka Misri wakiwa katika makundi ya makabila yao chini ya uongozi wa Mose na Aroni. 2 Mose…

Hesabu 34

Mipaka ya nchi 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, 2 “Waamuru Waisraeli ukisema: Mtakapoingia Kanaani, nchi ambayo ninawapa iwe nchi yenu, mipaka ya eneo lenu lote itakuwa kama ifuatavyo. 3 Upande wa…

Hesabu 35

Miji ya Walawi 1 Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose katika tambarare za Moabu, ngambo ya mto Yordani karibu na Yeriko, akamwambia, 2 “Waamuru Waisraeli kwamba kutokana na urithi watakaomiliki, wawape Walawi…

Hesabu 36

Urithi wa wanawake walioolewa 1 Viongozi wa jamaa katika ukoo wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, mwana wa Yosefu, walikwenda kuzungumza na Mose na viongozi wengine wa koo…