Isaya 21
Maono juu ya kuangamizwa kwa Babuloni 1 Kauli ya Mungu dhidi ya jangwa kando ya bahari. Kama vimbunga vinavyovuma kutoka kusini, wavamizi wanakuja kutoka jangwani, kutoka katika nchi ya kutisha….
Maono juu ya kuangamizwa kwa Babuloni 1 Kauli ya Mungu dhidi ya jangwa kando ya bahari. Kama vimbunga vinavyovuma kutoka kusini, wavamizi wanakuja kutoka jangwani, kutoka katika nchi ya kutisha….
Kauli ya Mungu dhidi ya Yerusalemu 1 Kauli ya Mungu dhidi ya Bonde la Maono. Kuna nini ee Yerusalemu? Mbona watu wote mmepanda juu ya nyumba? 2 Kwa nini mnapiga…
Angamizo la Tiro na Sidoni 1 Kauli ya Mungu dhidi ya Tiro. Ombolezeni, enyi mabaharia wa mbali baharini, maana Tiro mji wenu umeharibiwa, humo hamna tena makao wala bandari. Mtazipokea…
Mwenyezi-Mungu ataiadhibu dunia 1 Sasa Mwenyezi-Mungu anaiharibu dunia na kuifanya tupu. Atausokota uso wa dunia na kuwatawanya wakazi wake. 2 Kila mtu atapatwa na mambo yaleyale: Mtu wa kawaida na…
Wimbo wa sifa kwa Mungu 1 Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, ndiwe Mungu wangu; nitakutukuza na kulisifu jina lako, kwa maana umetenda mambo ya ajabu; waitekeleza kwa uaminifu na kweli mipango uliyoipanga…
Wimbo wa ushindi 1 Siku ile watu wataimba wimbo huu katika nchi ya Yuda: Sisi tuna mji imara: Mungu anatulinda kwa kuta na ngome. 2 Fungueni malango ya mji, taifa…
1 Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu atautwaa upanga wake mkubwa, mkali na imara, na kuliadhibu dude Lewiyathanijoka lirukalo na danganyifu; Mwenyezi-Mungu ataliua joka liishilo baharini. 2 Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu atasema hivi: “Imbeni…
Onyo kwa ufalme wa kaskazini 1 Ole wenye majivuno na walevi wa Efraimu, fahari yake inatoweka kama ua linalonyauka! Naam, fahari iliyotawala bondeni kwenye rutubarutuba; na vichwani kwao walio watu…
Ujumbe dhidi ya Yerusalemu 1 Ole wako Yerusalemu, madhabahu ya Mungu; mji ambamo Daudi alipiga kambi yake! Miaka yaja na kupita, na sikukuu zako zaendelea kufanyika; 2 lakini mimi Mungu…
1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Ole wao watoto wanaoniasi, wanaotekeleza mipango yao na si mipango yangu, wanaofanya mikataba kinyume cha matakwa yangu! Naam, wanarundika dhambi juu ya dhambi. 2 Bila kunitaka…