Isaya 31
Misri haitaweza kusaidia 1 Ole wao wale waendao Misri kuomba msaada, ole wao wanaotegemea farasi, wanaotegemea wingi wa magari yao ya vita, na nguvu za askari wao wapandafarasi, nao hawamtegemei…
Misri haitaweza kusaidia 1 Ole wao wale waendao Misri kuomba msaada, ole wao wanaotegemea farasi, wanaotegemea wingi wa magari yao ya vita, na nguvu za askari wao wapandafarasi, nao hawamtegemei…
Mfalme mwadilifu 1 Kutatokea mfalme atakayetawala kwa uadilifu, nao viongozi wataongoza kwa kufuata haki. 2 Kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujikinga na upepo, kama mahali pa kujificha wakati wa…
Maafa kwa mwangamizi 1 Ole wako ewe mwangamizi, unayeangamiza bila wewe kuangamizwa! Ole wako wewe mtenda hila, ambaye hakuna aliyekutendea hila! Utakapokwisha kuangamiza wewe utaangamizwa! Utakapomaliza kuwatendea watu hila wewe…
Mungu atawaadhibu maadui zake 1 Karibieni mkasikilize enyi mataifa, tegeni sikio enyi watu. Sikiliza ee dunia na vyote vilivyomo, ulimwengu na vyote vitokavyo humo! 2 Mwenyezi-Mungu ameyakasirikia mataifa yote, ameghadhabika…
Furaha ijayo ya Yerusalemu 1 Nyika na nchi kavu vitachangamka, jangwa litafurahi na kuchanua maua. 2 Litachanua maua kwa wingi kama waridi, litashangilia na kuimba kwa furaha. Mungu atalijalia fahari…
Waashuru wanatishia Yerusalemu 1 Mnamo mwaka wa kumi na nne wa utawala wa mfalme Hezekia,mfalme Senakeribu wa Ashuru aliishambulia miji yote yenye ngome ya Yuda na kuiteka. 2 Kisha mfalme…
Mfalme anaomba shauri kwa nabii Isaya 1 Basi, mfalme Hezekia aliposikia habari hiyo alirarua mavazi yake, akavaa vazi la gunia, akaingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. 2 Aliwaamuru Eliakimu, mkuu wa…
Mfalme Hezekia anaugua 1 Wakati huo, mfalme Hezekia aliugua sana karibu kufa. Ndipo nabii Isaya mwana wa Amozi, akamwendea, akamwambia, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu: Panga mambo yako sawasawa katika nyumba…
Wajumbe kutoka Babuloni 1 Wakati huo, mfalme Merodak-baladani mwana wa Baladani, mfalme wa Babuloni, aliposikia kwamba Hezekia alikuwa ameugua na sasa amepona, alimtumia ujumbe pamoja na zawadi. 2 Basi, Hezekia…
Tumaini la kuponywa katika Yerusalemu 1 Mungu wenu asema: “Wafarijini watu wangu, nendeni mkawafariji. 2 Semeni na wenyeji wa Yerusalemu kwa upole, waambieni kwamba utumwa wao umekwisha, wamesamehewa uovu wao….