Kutoka 11
Tangazo la kuuawa wazaliwa wa kwanza wa Wamisri 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Bado kuna pigo moja nitakalomletea Farao na nchi ya Misri. Baadaye atawaacheni mwondoke hapa. Tena atakapowaacheni mwondoke, yeye…
Tangazo la kuuawa wazaliwa wa kwanza wa Wamisri 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Bado kuna pigo moja nitakalomletea Farao na nchi ya Misri. Baadaye atawaacheni mwondoke hapa. Tena atakapowaacheni mwondoke, yeye…
Pasaka 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose na Aroni, walipokuwa bado nchini Misri, 2 “Mwezi huu utakuwa kwenu mwezi wa kwanza wa mwaka. 3 Iambieni jumuiya yote ya Waisraeli kwamba mnamo siku…
Kuwaweka wakfu wazaliwa wa kwanza 1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, 2 “Niwekee wakfu wazaliwa wote wa kwanza wa kiume, maana wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa Waisraeli na kila wazaliwa…
Waisraeli wanavuka bahari ya Shamu 1 Kisha, Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, 2 “Waambie Waisraeli warudi nyuma, wapige kambi mbele ya Pi-hahirothi, kati ya mji wa Migdoli na bahari ya Shamu, mbele…
Wimbo wa Mose 1 Hapo, Mose pamoja na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi-Mungu wimbo huu, “Nitamwimbia Mwenyezi-Mungu kwani ameshinda kwa fahari, farasi na mpandafarasi wake amewatosa baharini. 2 Mwenyezi-Mungu hunijalia nguvu na…
Mana na kware 1 Jumuiya yote ya Waisraeli iliondoka, ikafika jangwa la Sini kati ya Elimu na Sinai. Hii ilikuwa siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili tangu…
Maji kutoka mwambani 1 Kutoka jangwa la Sini, jumuiya yote ya Waisraeli ilisafiri hatua kwa hatua kama alivyoamuru Mwenyezi-Mungu, watu wakapiga kambi huko Refidimu. Lakini huko hakukuwa na maji ya…
Yethro anamtembelea Mose 1 Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Mose, alisikia juu ya mambo yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimtendea Mose na Waisraeli alipowatoa katika nchi ya Misri. 2 Kwa…
Waisraeli mlimani Sinai 1 Siku ya kwanza ya mwezi wa tatu tangu walipotoka nchini Misri, watu wa Israeli walifika katika jangwa la Sinai. 2 Walipoondoka Refidimu na kufika jangwa la…
Amri kumi 1 Mwenyezi-Mungu alizungumza maneno haya yote, akasema, 2 “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, niliyekutoa nchini Misri, ambako ulikuwa mtumwa. 3 “Usiwe na miungu mingine ila mimi. 4 “Usijifanyie…