Kutoka 31
Mafundi wa kutayarisha hema la mkutano 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, 2 “Mimi nimemteua Bezaleli, mwana wa Uri, mjukuu wa Huri, wa kabila la Yuda 3 na kumjaza roho wangu. Nimempatia…
Mafundi wa kutayarisha hema la mkutano 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, 2 “Mimi nimemteua Bezaleli, mwana wa Uri, mjukuu wa Huri, wa kabila la Yuda 3 na kumjaza roho wangu. Nimempatia…
Sanamu ya ndama wa dhahabu 1 Watu walipoona kuwa Mose amechelewa kurudi kutoka mlimani, walikusanyika mbele ya Aroni na kumwambia, “Haya! Tutengenezee miungu itakayotuongoza maana hatujui lililompata huyo Mose aliyetutoa…
Mungu amwamuru Mose waanze safari 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Anza safari uondoke hapa, wewe na watu hao uliowatoa nchini Misri, mwende katika nchi niliyomwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, nikisema, ‘Nitawapa…
Vibao vipya vya agano 1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nami nitayaandika maneno yale yaliyokuwa katika vile vibao vya kwanza ulivyovivunja. 2 Uwe…
Kanuni za Sabato 1 Mose alikusanya jumuiya yote ya Waisraeli, akawaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo Mwenyezi-Mungu amewaamuru muyafanye: 2 Kwa siku sita mtafanya kazi zenu; lakini siku ya saba ni…
1 “Bezaleli na Oholiabu, pamoja na kila mwanamume ambaye Mwenyezi-Mungu amemjalia uwezo na akili ya kujua namna ya kufanya kazi zote katika ujenzi wa hema takatifu, atafanya kazi kulingana na…
Kutengeneza sanduku la agano 1 Bezaleli alitengeneza sanduku kwa mbao za mjohoro; urefu wake ulikuwa sentimita 110, upana sentimita 66, na kimo chake sentimita 66. 2 Alilipaka dhahabu safi ndani…
Madhabahu ya kuteketezea tambiko na birika la shaba 1 Alitengeneza madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa. Madhabahu hiyo ilikuwa ya mraba, mita mbili na robo kwa mita 2.25, na…
Mavazi ya makuhani: Kizibao 1 Kwa kutumia sufu ya rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu walifuma sare za kuvaa wakati wa kuhudumu mahali patakatifu. Walimshonea Aroni mavazi matakatifu kama…
Hema lasimikwa na kuwekwa wakfu 1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, 2 “Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, utalisimika hema takatifu la mkutano. 3 Ndani ya hema hilo utaweka lile…