Matendo 1
1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake 2 mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa…
1 Ndugu Theofilo, Katika kitabu cha kwanza niliandika juu ya mambo yote Yesu aliyotenda na kufundisha tangu mwanzo wa kazi yake 2 mpaka siku ile alipochukuliwa mbinguni. Kabla ya kuchukuliwa…
Roho Mtakatifu anawashukia waumini 1 Siku ya Pentekoste ilipofika, waumini wote walikuwa wamekusanyika mahali pamoja. 2 Ghafla, sauti ikasikika kutoka angani; sauti iliyokuwa kama ya upepo mkali, ikaijaza ile nyumba…
Petro na Yohane wanamponya kiwete 1 Siku moja, saa tisa alasiri, Petro na Yohane walikuwa wakienda hekaluni, wakati wa sala. 2 Wakati huo watu walikuwa wanambeba mtu mmoja kiwete tangu…
Petro na Yohane wanapelekwa mahakamani 1 Petro na Yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa hekalu pamoja na Masadukayo walifika. 2 Walikasirika sana, maana hao mitume…
Udanganyifu wa Anania na Safira 1 Mtu mmoja aitwaye Anania na mkewe Safira waliuza shamba lao vilevile. 2 Lakini, mkewe akiwa anajua, Anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile…
Wasaidizi saba wa mitume 1 Baadaye, idadi ya wanafunzi ilipokuwa inazidi kuongezeka, kulitokea manunguniko kati ya waumini walioongea Kigiriki na wale walioongea Kiebrania. Wale walioongea Kigiriki walinungunika kwamba wajane wao…
Hotuba ya Stefano 1 Basi, kuhani mkuu akamwuliza, “Je, mambo haya ni kweli?” 2 Naye Stefano akasema, “Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea babu yetu Abrahamu alipokuwa kule…
1 Saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua kuwa sawa. Kanisa linaanza kuteswa Siku hiyo kanisa la Yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. Waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika…
Kuongoka kwa Saulo 1 Wakati huo Saulo alikuwa akizidisha vitisho vikali vya kuwaua wafuasi wa Bwana. Alikwenda kwa kuhani mkuu, 2 akaomba apatiwe barua za utambulisho kwa masunagogi ya Kiyahudi…
Petro na Kornelio 1 Kulikuwa na mtu mmoja huko Kaisarea aitwaye Kornelio, jemadari wa kikosi kimoja kiitwacho “Kikosi cha Italia.” 2 Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na jamaa yake yote…