Ruthu 1
Elimeleki na jamaa yake wanakwenda Moabu 1 Hapo zamani, wakati waamuzi walipokuwa wanatawala Israeli, palitokea njaa nchini humo. Mtu mmoja kutoka Bethlehemu katika Yuda pamoja na mkewe na watoto wao…
Elimeleki na jamaa yake wanakwenda Moabu 1 Hapo zamani, wakati waamuzi walipokuwa wanatawala Israeli, palitokea njaa nchini humo. Mtu mmoja kutoka Bethlehemu katika Yuda pamoja na mkewe na watoto wao…
Ruthu anafanya kazi katika shamba la Boazi 1 Naomi alikuwa na ndugu aliyeitwa Boazi, wa ukoo wa Elimeleki mumewe. Huyo alikuwa mtu mashuhuri na tajiri. 2 Siku moja, Ruthu Mmoabu…
Ruthu anashauriwa kupata mume 1 Baada ya muda, Naomi mkwewe alimwambia Ruthu, “Ni wajibu wangu kukutafutia mume ili upate mema. 2 Sasa huyu Boazi, ambaye ulifanya kazi na wasichana wake,…
Boazi anamwoa Ruthu 1 Boazi alikwenda mahali pa kufanyia mkutano huko kwenye lango la mji akaketi chini. Kisha yule ndugu ya Elimeleki ambaye Boazi alikuwa amemtaja, akapita karibu na hapo….