Sira 41
Kifo 1 Ewe kifo! Kukukumbuka ni uchungu mkubwa, kwa mtu anayeishi kwa amani na mali zake; kwa mtu asiye na wasiwasi, anayefanikiwa kila kitu, na aliye bado na nguvu za…
Kifo 1 Ewe kifo! Kukukumbuka ni uchungu mkubwa, kwa mtu anayeishi kwa amani na mali zake; kwa mtu asiye na wasiwasi, anayefanikiwa kila kitu, na aliye bado na nguvu za…
Kuona fahari 1 Haya ndiyo mambo ambayo hutaona haya kutenda, wala usitende dhambi kwa kuogopa watu watasema nini: 2 Usione haya kufuata sheria ya Mungu Mkuu na agano lake, usione…
Jua 1 Fahari ya huko juu ni uangavu wa anga lake; anga laonekana kumetameta kwa fahari yake. 2 Jua litokezapo linatangaza likingaa. Hilo ni kitu cha ajabu alichoumba Mungu Mkuu….
Sifa kwa wazee 1 Sasa, na tuwasifu watu mashuhuri, wazee wetu na vizazi vilivyopita. 2 Bwana aliwapa fahari kubwa, akawafanya wakuu tangu siku za kale. 3 Walikuwako wale waliotawala falme…
Mose 1 Kutoka wazawa wa Yakobo Bwana akamtokeza mtu mwema aliyepata kibali mbele ya watu wote, akapendwa na Mungu na watu. Huyo alikuwa Mose ambaye ni furaha kumkumbuka. 2 Bwana…
Yoshua 1 Yoshua, mwana wa Nuni alikuwa shujaa vitani, na alimfuata Mose katika unabii. Alikuwa, kama jina lake, mkombozi mkubwa wa wateule wa Mungu, akawalipiza kisasi adui waliopigana nao, ili…
Nathani 1 Baada yake alitokea Nathani; yeye alikuwa nabii siku za Daudi. Daudi 2 Kama vile mafuta ya tambiko ya amani yanavyochaguliwa na kutengwa kwa ajili ya Bwana, ndivyo na…
Elia 1 Kisha alizuka nabii Elia kama moto; na maneno yake yaliwaka kama mwenge. 2 Aliwaletea watu njaa, na kwa bidii yake ya kumpenda Mungu akawafanya wawe wachache. 3 Kwa…
Yosia 1 Kumkumbuka Yosia ni kama mchanganyiko wa ubani, ambao umechanganywa na fundi stadi, ni mtamu kama asali kwa kila mtu, ni kama muziki kwenye karamu ya pombe. 2 Aliongozwa…
Simoni 1 Aliyekuwa mkuu wa ndugu zake na fahari ya watu wake, ni Simoni, kuhani mkuu, mwana wa Onia. Katika maisha yake alilijenga upya hekalu, na kulijengea ngome. 2 Aliweka…