Sira 51

Utenzi wa shukrani 1 Nakushukuru, ee Bwana na Mfalme, nakusifu, ee Mungu, Mwokozi wangu. Nalitukuza jina lako. 2 Maana wewe umekuwa mlinzi na msaidizi wangu. Umeukomboa mwili wangu kutoka kwenye…