Tito 1

1 Mimi Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Yesu Kristo naandika. Mimi nimechaguliwa kuijenga imani ya wateule wa Mungu na kuwaongoza waufahamu ukweli wa dini yetu 2 ambayo msingi…

Tito 2

Mafundisho ya kweli 1 Lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho sahihi. 2 Waambie wanaume wazee kwamba wanapaswa kuwa na kiasi, wawe na busara na wataratibu; wanapaswa kuwa timamu katika imani yao,…

Tito 3

Maisha ya Kikristo 1 Wakumbushe watu kuwastahi watawala na wenye mamlaka, kuwatii na kuwa tayari kwa kila namna kutenda mambo yote mema. 2 Waambie wasimtukane mtu yeyote; bali waishi kwa…