Tobiti 1
1 Hizi ni habari za maisha ya Tobiti mwana wa Tobieli, mwana wa Ananieli, mwana wa Adueli, mwana wa Gabaeli, wa ukoo wa Asieli, wa kabila la Naftali. 2 Wakati…
1 Hizi ni habari za maisha ya Tobiti mwana wa Tobieli, mwana wa Ananieli, mwana wa Adueli, mwana wa Gabaeli, wa ukoo wa Asieli, wa kabila la Naftali. 2 Wakati…
Sikukuu ya jamaa 1 Basi niliporejea nyumbani kwangu na kupatiwa tena mke wangu Ana na mwanangu Tobia, niliandaliwa karamu kubwa wakati wa sikukuu ya Pentekoste, iliyo sikukuu takatifu ya majuma…
Sala ya Tobiti 1 Basi mimi kwa uchungu mkubwa nilianza kusononeka na kutoa machozi, kisha nikaanza kusali kwa huzuni: 2 “Ee Bwana, wewe ni mwenye haki, matendo yako yote ni…
Mawaidha ya Tobiti kwa Tobia 1 Siku hiyohiyo Tobiti akaikumbuka fedha yake aliyokuwa amemwachia Gabaeli kule Rage, nchini Media. 2 Basi akafikiri: “Kwa vile nimemwomba Mungu nife, yanipasa nimwite mwanangu…
Maandalio ya safari 1 Basi, Tobia akamjibu baba yake, “Baba mimi nitatimiza yote uliyoniagiza. 2 Lakini nitaipataje hiyo fedha kutoka kwa Gabaeli hali simjui? Nitampa kitambulisho gani aweze kusadiki na…
1 Basi, Ana akaacha kulia. Tobia akamata samaki Hapo, Tobia akifuatwa na mbwa wake, akaanza safari pamoja na yule malaika. Jioni ya siku ile ya kwanza ya safari wakawa wamefika…
Nyumbani kwa Ragueli 1 Walipowasili mjini Ekbatana, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nipeleke mara moja kwa Ragueli.” Malaika akamwongoza kijana nyumbani kwa Ragueli, Wakamkuta Ragueli ameketi kando ya mlango…
Jini latimuliwa 1 Baada ya kula, wazazi wa Sara walimwongoza kijana Tobia chumbani kwa bibiarusi. 2 Tobia alikumbuka maagizo ya Rafaeli. Basi, akafungua mfuko wake, akatoa ini na moyo wa…
Safari kwenda Rage 1 Baada ya hayo, Tobia alimwita Rafaeli, akamwambia, 2 “Ndugu Azaria, chukua watumishi wanne na ngamia wawili uende mjini Rage, kwa Gabaeli, umpe hati hii yenye sahihi…
Mahangaiko ya Tobiti na Ana 1 Huko nyuma, kila siku Tobiti alikuwa akihesabu siku zilizohitajiwa kwenda Rage na kurudi. Siku hizo zikapita na mwanawe Tobia akawa bado hajarudi. Basi, Tobiti…