Yobu 21
Jibu la Yobu 1 Kisha Yobu akajibu: 2 “Sikilizeni kwa makini maneno yangu; na hiyo iwe ndiyo faraja yenu. 3 Nivumilieni, nami nitasema, na nikisha sema endeleeni kunidhihaki. 4 Je,…
Jibu la Yobu 1 Kisha Yobu akajibu: 2 “Sikilizeni kwa makini maneno yangu; na hiyo iwe ndiyo faraja yenu. 3 Nivumilieni, nami nitasema, na nikisha sema endeleeni kunidhihaki. 4 Je,…
Hoja ya Elifazi 1 Kisha Elifazi, Mtemani, akajibu Yobu: 2 “Je, binadamu anafaa chochote kwa Mungu? Kwa kweli mwenye hekima anajifaidi mwenyewe tu. 3 Je, unadhani wamfurahisha Mungu kwa kuwa…
Jibu la Yobu 1 Kisha Yobu akajibu: 2 “Leo pia lalamiko langu ni chungu. Napata maumivu na kusononeka. 3 Laiti ningejua mahali nitakapompata Mungu! Ningeweza kwenda hata karibu naye. 4…
1 “Mbona Mungu Mwenye Nguvu haweki wakati maalumu wa hukumu; au kwa nini wamjuao hawazijui siku hizo zake? 2 Watu wanaoondoa alama za mipaka ya mashamba, na wengine huiba mifugo…
Jibu la Bildadi 1 Kisha Bildadi, Mshuhi, akajibu: 2 “Mungu ni mwenye uwezo mkuu, watu wote na wamche. Yeye huweka amani mpaka juu kwake mbinguni. 3 Nani awezaye kuhesabu majeshi…
Jibu la Yobu 1 Kisha Yobu akajibu: 2 “Aa! Jinsi gani ulivyomsaidia asiye na uwezo! Jinsi gani ulivyomwokoa asiye na nguvu! 3 Jinsi gani ulivyomshauri asiye na hekima, na kumshirikisha…
1 Yobu akaendelea kutoa hoja yake, akasema: 2 “Naapa kwa Mungu aliye hai, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Nguvu aliyeifanya nafsi yangu iwe na uchungu! 3 Naapa kuwa kadiri ninavyoweza…
Sifa za hekima 1 “Hakika kuna machimbo ya fedha, na mahali ambako dhahabu husafishwa. 2 Watu huchimba chuma ardhini, huyeyusha shaba kutoka mawe ya madini. 3 Wachimba migodi huleta taa…
1 Kisha Yobu akaendelea na hoja yake, akasema: 2 “Laiti ningekuwa kama zamani, wakati ule ambapo Mungu alinichunga; 3 wakati taa yake iliponiangazia kichwani, na kwa mwanga wake nikatembea gizani….
1 “Lakini sasa watu wananidhihaki, tena watu walio wadogo kuliko mimi; watu ambao baba zao niliwaona hawafai hata kuwaangalia mbwa wangu wakilinda kondoo. 2 Ningepata faida gani mikononi mwao, watu…