Yobu 31
1 “Nimejifunga rasmi mimi mwenyewe, macho yangu yasimtazame msichana kwa tamaa. 2 Au je, nangojea nini kutoka kwa Mungu aliye juu? Mungu Mwenye Nguvu ameniwekea kitu gani? 3 Je, maafa…
1 “Nimejifunga rasmi mimi mwenyewe, macho yangu yasimtazame msichana kwa tamaa. 2 Au je, nangojea nini kutoka kwa Mungu aliye juu? Mungu Mwenye Nguvu ameniwekea kitu gani? 3 Je, maafa…
Elihu anatoa hoja zake 1 Basi hawa watu watatu: Elifazi, Bildadi na Sofari, wakaacha kumjibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwema. 2 Ndipo Elihu, mwana wa Barakeli, wa kabila la…
1 “Sasa, Yobu, sikiliza hoja yangu; sikiliza maneno yangu yote. 2 Tazama, nafumbua kinywa changu, naam, ulimi wangu utasema. 3 Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa…
1 Kisha Elihu akaendelea kusema: 2 “Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi. 3 Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula. 4 Basi, na…
1 Kisha Elihu akaendelea kusema: 2 “Je, Yobu, unaona jambo hili ni sawa na kufikiri kinyume cha Mungu 3 ukiuliza: ‘Nimepata faida gani kama sikutenda dhambi? Nimefaidika kuliko kama ningalitenda…
1 Kisha Elihu akaendelea kusema: 2 “Nivumilie kidogo, nami nitakuonesha kitu; maana bado ninacho cha kusema kwa niaba ya Mungu. 3 Nitaleta hekima yangu kutoka mbali sana, na kuonesha kwamba…
1 “Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka mahali pake. 2 Sikilizeni ngurumo ya sauti ya Mungu, na mvumo wa sauti kutoka kinywani mwake. 3 Huufanya uenee chini…
Mungu anamjibu Yobu 1 Hapo Mwenyezi-Mungu alimjibu Yobu kutoka dhoruba: 2 “Nani wewe unayevuruga mashauri yangu kwa maneno yasiyo na akili? 3 Jikaze kama mwanamume, nami nitakuuliza nawe utanijibu. 4…
1 “Je, wajua mbuzi wa milimani huzaa lini, au umewahi kuona kulungu akizaa? 2 Je, wajua huchukua mimba kwa muda gani, au siku yenyewe ya kuzaa waijua? 3 “Wajua wakati…
1 Mwenyezi-Mungu akaendelea kumwambia Yobu: 2 “Je, wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Nguvu? Wewe unayebishana nami Mungu, basi jibu mambo hayo!” 3 Kisha Yobu akamjibu Mwenyezi-Mungu: 4…