Yoshua 1

Mungu anamwamuru Yoshua kuiteka nchi ya Kanaani 1 Baada ya kifo cha Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, Mwenyezi-Mungu alimwambia Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Mose: 2 “Mtumishi wangu Mose amefariki,…

Yoshua 2

Yoshua anawatuma wapelelezi Yeriko 1 Basi, Yoshua, mwana wa Nuni, akawatuma watu wawili kwa siri kutoka Shitimu waende kufanya upelelezi, katika nchi ile na hasa mji wa Yeriko. Wakaenda, wakafika…

Yoshua 3

Waisraeli wanavuka mto Yordani 1 Asubuhi na mapema Yoshua pamoja na watu wote wa Israeli walianza safari kutoka Shitimu. Walipoufikia mto Yordani, walipiga kambi hapo kwa muda kabla ya kuvuka….

Yoshua 4

Mawe ya ukumbusho kumi na mawili 1 Taifa zima lilipokwisha vuka mto Yordani, Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, 2 “Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa hao Waisraeli, yaani mtu mmoja kutoka…

Yoshua 5

1 Wafalme wote wa Waamori walioishi ngambo ya magharibi ya Yordani, na wafalme wote wa Wakanaani waliokuwa pwani ya bahari ya Mediteranea, waliposikia kwamba Mwenyezi-Mungu aliyakausha maji ya mto Yordani…

Yoshua 6

Waisraeli wanauteka mji wa Yeriko 1 Milango ya kuingilia mjini Yeriko ilikuwa imefungwa imara kwa ndani kuwazuia Waisraeli wasiingie. Hakuna mtu aliyeweza kuingia wala kutoka katika mji huo. 2 Mwenyezi-Mungu…

Yoshua 7

Kosa na adhabu ya Akani 1 Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu kuhusu vile vitu vilivyotolewa viangamizwe kwani Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda,…

Yoshua 8

Mji wa Ai unatekwa 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Usiogope, wala usiwe na wasiwasi wowote; wachukue wanajeshi wako wote uelekee mji wa Ai, kwani mfalme wa Ai nimemtia mikononi mwako, pamoja…

Yoshua 9

Agano na watu wa Gibeoni 1 Wafalme wote waliokuwa ngambo ya mto Yordani katika nchi ya milimani na kwenye tambarare na eneo lote la pwani ya bahari ya Mediteranea kuelekea…

Yoshua 10

Waamori wanashindwa 1 Mfalme Adoni-sedeki wa Yerusalemualipata habari juu ya jinsi Yoshua alivyouteka mji wa Ai na kuuharibu kabisa akiutendea mji huo na mfalme wake kama alivyoutendea Yeriko na mfalme…