Zaburi 111
Mungu asifika kwa matendo yake 1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote, nikijumuika na jamii ya watu waadilifu. 2 Matendo ya Mwenyezi-Mungu ni makuu mno! Wote wanaoyafurahia huyatafakari….
Mungu asifika kwa matendo yake 1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote, nikijumuika na jamii ya watu waadilifu. 2 Matendo ya Mwenyezi-Mungu ni makuu mno! Wote wanaoyafurahia huyatafakari….
Furaha ya mtu mwema 1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Heri mtu anayemcha Mwenyezi-Mungu, anayefurahia sana kutii amri zake. 2 Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka. 3 Nyumbani…
Sifa kwa Mungu mtukufu 1 Msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watumishi wa Mwenyezi-Mungu, lisifuni jina lake! 2 Jina lake litukuzwe, sasa na hata milele. 3 Kutoka mashariki na hata magharibi, litukuzwe jina…
Mungu na watu wake 1 Watu wa Israeli walipotoka Misri, wazawa wa Yakobo walipotoka ugenini, 2 Yuda ikawa maskani ya Mungu, Israeli ikawa milki yake. 3 Bahari iliona hayo ikakimbia;…
Mungu mmoja wa kweli 1 Sio sisi, ee Mwenyezi-Mungu, sio sisi; bali wewe peke yako utukuzwe, kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako. 2 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu…
Shukrani kwa kuokolewa kifoni 1 Nampenda Mwenyezi-Mungu, kwa maana anisikia, maana amesikia kilio cha ombi langu. 2 Yeye amenitegea sikio, hivyo nitamwomba muda wote niishio. 3 Hatari ya kifo ilinizunguka,…
Kumsifu Mungu 1 Enyi mataifa yote, msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watu wote mhimidini! 2 Maana fadhili zake kwetu sisi ni kuu; uaminifu wake Mwenyezi-Mungu wadumu milele! Msifuni Mwenyezi-Mungu!
Sala ya shukrani 1 Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele. 2 Watu wa Israeli na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.” 3 Wazawa wa Aroni…
Sheria ya Mungu 1 Heri watu wanaoishi bila kosa, wanaozingatia sheria ya Mwenyezi-Mungu. 2 Heri wanaozingatia matakwa yake, wanaomtafuta kwa moyo wao wote, 3 watu wasiotenda uovu kamwe, bali daima…
Kuomba msaada (Wimbo wa Kwenda Juu ) 1 Katika taabu yangu nilimwita Mwenyezi-Mungu, naye akanijibu. 2 Uniokoe ee Mwenyezi-Mungu, na watu wadanganyifu na waongo. 3 Enyi watu wadanganyifu, mtapewa kitu…