Zekaria 11

Kuanguka kwa wenye nguvu 1 Fungua milango yako, ewe Lebanoni ili moto uiteketeze mierezi yako! 2 Ombolezeni, enyi misunobari, kwa kuwa mierezi imeteketea. Miti hiyo mitukufu imeharibiwa! Enyi mialoni ya…

Zekaria 12

Yerusalemu utakombolewa baadaye 1 Neno la Mwenyezi-Mungu kuhusu Israeli. Mwenyezi-Mungu aliyezitandaza mbingu, aliyeiweka misingi ya dunia na kumpa mwanadamu uhai asema hivi: 2 “Nitaufanya mji wa Yerusalemu kuwa kama kikombe…

Zekaria 13

1 “Siku hiyo, kutatokea chemchemi ya kuwatakasa dhambi na unajisi wazawa wa Daudi na wakazi wote wa Yerusalemu. 2 Wakati huo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, majina ya vinyago vya…

Zekaria 14

Yerusalemu na watu wa mataifa mengine 1 Tazama, siku ya ghadhabu ya Mwenyezi-Mungu inakuja. Siku hiyo, enyi watu wa Yerusalemu, mali yenu itagawanywa mbele ya macho yenu. 2 Mwenyezi-Mungu atayakusanya…