1 Wamakabayo 6

Kifo cha Antioko wa Nne 1 Mfalme Antioko wa Nne alipokuwa anapita Mesopotamia mikoa ya nyanda za juu alisikia habari za mji Elimaisi katika nchi ya Persia, ambao ulisifika sana…

1 Wamakabayo 7

Kuhani mkuu Alkimo na kampeni ya Nikanori 1 Mwaka 151,Demetrio mwana wa Seleuko aliondoka Roma, akawasili katika mji mmoja wa mwambao wa Bahari ya Mediteranea akiwa na watu wachache. Huko…

1 Wamakabayo 8

Mkataba na Waroma 1 Yuda alikuwa amesikia sifa ya Waroma, kwamba walikuwa na nguvu sana kijeshi. Alijua kwamba waliwakaribisha wale wote waliojiunga nao kama washirika, na kwamba wale waliojumuika nao…

1 Wamakabayo 9

Kifo cha Yuda 1 Demetrio aliposikia kwamba Nikanori na jeshi lake wameangamizwa vitani, akawapeleka tena nchini Yudea Bakide na Alkimo, pamoja na vikosi vya kulia vya jeshi lake. 2 Wakapita…

1 Wamakabayo 10

Aleksanda Epifane amfanya Yonathani kuhani mkuu 1 Mwaka 160,Aleksanda Epifane,mwana wa Antioko wa Nne, aliwasili Tolemai na kuuteka mji huo. Watu wakamkaribisha, naye akawa mfalme wao. 2 Mfalme Demetrio alipopata…

1 Wamakabayo 11

Kuanguka kwa Aleksanda Epifane 1 Mfalme Tolemai wa Sita wa Misri alikusanya jeshi la askari wengi zaidi kuliko mchanga wa pwani, akaandaa na meli nyingi. Lengo lake lilikuwa kumnasa Aleksanda,…

1 Wamakabayo 12

Ushirika na Roma na Sparta 1 Yonathani alipoona mambo yanamwendea vizuri, akachagua wajumbe na kuwatuma Roma kwenda kufufua na kuthibitisha urafiki na Waroma. 2 Aidha alipeleka barua zenye ujumbe kama…

1 Wamakabayo 13

Simoni awaongoza Wayahudi 1 Simoni alisikia kwamba Trifo alikuwa amekusanya jeshi kubwa, kuivamia nchi ya Yudea na kuiangamiza. 2 Aliona pia kwamba watu walikuwa wanatetemeka kwa hofu. Basi, akaenda Yerusalemu,…

1 Wamakabayo 14

Sifa za Simoni 1 Mwaka 172,mfalme Demetrio wa Pili alikusanya jeshi lake na kwenda Media kutafuta msaada zaidi kwa ajili ya vita dhidi ya Trifo. 2 Arsake wa Sita, mfalme…

1 Wamakabayo 15

Antioko wa Saba aomba msaada kwa Simoni 1 Kutoka visiwani baharini, Antioko mwana wa mfalme Demetrio, aliandika barua ifuatayo kwa Simoni, kuhani mkuu na kiongozi wa Wayahudi, na kwa taifa…