1 Wamakabayo 6
Kifo cha Antioko wa Nne 1 Mfalme Antioko wa Nne alipokuwa anapita Mesopotamia mikoa ya nyanda za juu alisikia habari za mji Elimaisi katika nchi ya Persia, ambao ulisifika sana…
Kifo cha Antioko wa Nne 1 Mfalme Antioko wa Nne alipokuwa anapita Mesopotamia mikoa ya nyanda za juu alisikia habari za mji Elimaisi katika nchi ya Persia, ambao ulisifika sana…
Kuhani mkuu Alkimo na kampeni ya Nikanori 1 Mwaka 151,Demetrio mwana wa Seleuko aliondoka Roma, akawasili katika mji mmoja wa mwambao wa Bahari ya Mediteranea akiwa na watu wachache. Huko…
Mkataba na Waroma 1 Yuda alikuwa amesikia sifa ya Waroma, kwamba walikuwa na nguvu sana kijeshi. Alijua kwamba waliwakaribisha wale wote waliojiunga nao kama washirika, na kwamba wale waliojumuika nao…
Kifo cha Yuda 1 Demetrio aliposikia kwamba Nikanori na jeshi lake wameangamizwa vitani, akawapeleka tena nchini Yudea Bakide na Alkimo, pamoja na vikosi vya kulia vya jeshi lake. 2 Wakapita…
Aleksanda Epifane amfanya Yonathani kuhani mkuu 1 Mwaka 160,Aleksanda Epifane,mwana wa Antioko wa Nne, aliwasili Tolemai na kuuteka mji huo. Watu wakamkaribisha, naye akawa mfalme wao. 2 Mfalme Demetrio alipopata…
Kuanguka kwa Aleksanda Epifane 1 Mfalme Tolemai wa Sita wa Misri alikusanya jeshi la askari wengi zaidi kuliko mchanga wa pwani, akaandaa na meli nyingi. Lengo lake lilikuwa kumnasa Aleksanda,…
Ushirika na Roma na Sparta 1 Yonathani alipoona mambo yanamwendea vizuri, akachagua wajumbe na kuwatuma Roma kwenda kufufua na kuthibitisha urafiki na Waroma. 2 Aidha alipeleka barua zenye ujumbe kama…
Simoni awaongoza Wayahudi 1 Simoni alisikia kwamba Trifo alikuwa amekusanya jeshi kubwa, kuivamia nchi ya Yudea na kuiangamiza. 2 Aliona pia kwamba watu walikuwa wanatetemeka kwa hofu. Basi, akaenda Yerusalemu,…
Sifa za Simoni 1 Mwaka 172,mfalme Demetrio wa Pili alikusanya jeshi lake na kwenda Media kutafuta msaada zaidi kwa ajili ya vita dhidi ya Trifo. 2 Arsake wa Sita, mfalme…
Antioko wa Saba aomba msaada kwa Simoni 1 Kutoka visiwani baharini, Antioko mwana wa mfalme Demetrio, aliandika barua ifuatayo kwa Simoni, kuhani mkuu na kiongozi wa Wayahudi, na kwa taifa…