2 Wamakabayo 10

Kutakaswa hekalu 1 Yuda Makabayo na wafuasi wake, chini ya uongozi wa Bwana, walitwaa tena hekalu na mji wa Yerusalemu. 2 Wakazibomolea mbali madhabahu zilizokuwa zimejengwa na wageni sokoni, wakapaharibu…

2 Wamakabayo 11

Yuda Makabayo amshinda Lisia 1 Mara baada ya hayo, si muda mrefu baada ya Timotheo kushindwa, Lisia, mlinzi na ndugu ya mfalme na mkuu wa serikali, alipata habari hizo. Alikasirika…

2 Wamakabayo 12

Wayahudi wa Yopa wauawa 1 Makubaliano ya amani kati ya Wayahudi na Wasiria yalipokamilika, Lisia alirejea kwa mfalme na Wayahudi wakarudia kazi zao za shambani. 2 Lakini baadhi ya wakuu…

2 Wamakabayo 13

Menelao auawa 1 Mwaka 149,Yuda Makabayo na wafuasi wake walipata habari kwamba Antioko Eupatori alikuwa anakuja na jeshi kubwa kuikabili Yudea, 2 na kwamba Lisia, yule mlinzi wa mfalme na…

2 Wamakabayo 14

Alkimo amsengenya Yuda 1 Miaka mitatu baadaye, Yuda na watu wake walipata habari kwamba Demetrio, mwana wa Seleuko alikuwa ameingia bandarini Tripoli akiwa na jeshi lenye nguvu na msururu wa…

2 Wamakabayo 15

Mpango wa kikatili wa Nikanori 1 Nikanori aliposikia kwamba Yuda na watu wake walikuwa sehemu za Samaria, alifanya mpango kuwashambulia siku ya Sabato, wakati ambapo walikuwa wamepumzika. 2 Wayahudi waliokuwa…

Mathayo 1

Ukoo wa Yesu Kristo 1 Yesu Kristo alikuwa wa ukoo wa Daudi, wa ukoo wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake: 2 Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo…

Mathayo 2

Wageni kutoka mashariki 1 Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu, 2 wakauliza, “Yuko…

Mathayo 3

Mahubiri ya Yohane Mbatizaji 1 Siku zile Yohane Mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la Yudea: 2 “Tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia.” 3 Huyu Yohane ndiye yule ambaye nabii…

Mathayo 4

Kujaribiwa kwa Yesu 1 Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi. 2 Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa. 3 Basi, mshawishi akamjia, akamwambia,…