Wagalatia 3

Imani na sheria 1 Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaroga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu. 2 Napenda kujua tu kitu…

Wagalatia 4

1 Basi, nasema hivi: Mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake. 2 Wakati huo wote yuko chini ya walezi na wadhamini mpaka wakati ule…

Wagalatia 5

Hifadhini uhuru wenu 1 Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Basi, simameni imara wala msikubali tena kuwa chini ya nira ya utumwa. 2 Sikilizeni! Ni mimi Paulo ninayesema nanyi! Kama…

Wagalatia 6

Tuvumiliane na kusaidiana 1 Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, nyinyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe…

Waefeso 1

1 Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia nyinyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu. 2 Nawatakieni neema na amani…

Waefeso 2

Kutoka kifo na kuingia katika uhai 1 Nyinyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu. 2 Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii…

Waefeso 3

Jukumu la Paulo kwa mataifa mengine 1 Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, namwomba Mungu. 2 Bila shaka mmekwisha sikia kwamba Mungu, kwa neema…

Waefeso 4

Umoja katika jumuiya 1 Basi, mimi niliye mfungwa kwa kuwa namtumikia Bwana, nawasihi muishi maisha yanayostahili wito mlioitiwa. 2 Muwe daima wanyenyekevu, wapole na wenye saburi; vumilianeni nyinyi kwa nyinyi…

Waefeso 5

Kuishi katika mwanga 1 Kwa hiyo, mwigeni Mungu, maana nyinyi ni watoto wake wapenzi. 2 Upendo uongoze maisha yenu kama vile Kristo alivyotupenda, na kwa ajili yetu akajitoa mwenyewe kama…

Waefeso 6

Watoto na wazazi wao 1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu Kikristo maana hili ni jambo jema. 2 “Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi,…