1 Wathesalonike 3

1 Mwishowe hatukuweza kuvumilia zaidi. Basi, tuliamua kubaki kule Athene peke yetu, 2 na kumtuma kwenu ndugu yetu Timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya Mungu katika kuhubiri Habari…

1 Wathesalonike 4

Maisha yampendezayo Mungu 1 Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka kwetu namna mnavyopaswa kuishi ili kumpendeza Mungu. Na kweli mmekuwa mnaishi hivyo. Sasa tunawaombeni na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu…

1 Wathesalonike 5

Muwe tayari kwa siku ya Bwana 1 Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira ya mambo haya yatakapotukia. 2 Maana nyinyi wenyewe mwajua kwamba siku ya Bwana…

2 Wathesalonike 1

1 Mimi Paulo, Silwano na Timotheo, kwa jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambayo ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo. 2 Tunawatakieni neema na amani kutoka…

2 Wathesalonike 2

Yule Mwovu 1 Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja, tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana 2 msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu…

2 Wathesalonike 3

Tuombeeni kwa Mungu 1 Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu. 2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na…

1 Timotheo 1

1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu, 2 nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani…

1 Timotheo 2

Mafundisho kuhusu sala 1 Kwanza kabisa, nawasihi muombe dua, msali na kumshukuru Mungu kwa ajili ya watu wote, 2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi…

1 Timotheo 3

Viongozi katika kanisa 1 Msemo huu ni wa kweli: Mtu anayetaka kuwa askofu, huyo anatamani kazi nzuri. 2 Basi, askofu anapaswa kuwa mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke…

1 Timotheo 4

Waalimu wa uongo 1 Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo. 2 Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa…