Mwanzo 21
Kuzaliwa kwa Isaka 1 Mwenyezi-Mungu alimkumbuka Sara, akamtendea kama alivyoahidi. 2 Basi, Abrahamu akiwa mzee, Sara akapata mimba, akamzalia mtoto wa kiume, wakati uleule Mungu alioutaja. 3 Abrahamu akampa huyo…
Kuzaliwa kwa Isaka 1 Mwenyezi-Mungu alimkumbuka Sara, akamtendea kama alivyoahidi. 2 Basi, Abrahamu akiwa mzee, Sara akapata mimba, akamzalia mtoto wa kiume, wakati uleule Mungu alioutaja. 3 Abrahamu akampa huyo…
Abrahamu anamtoa Isaka sadaka 1 Baada ya muda fulani, Mungu alimjaribu Abrahamu. Mungu alimwita, “Abrahamu!” Naye akaitika, “Naam nasikiliza.” 2 Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende…
Kifo cha Sara 1 Sara aliishi miaka 127. Hiyo ndiyo iliyokuwa miaka ya maisha yake Sara. 2 Alifia huko Kiriath-arba, yaani Hebroni, katika nchi ya Kanaani. Abrahamu akaomboleza na kumfanyia…
Isaka anaoa 1 Sasa Abrahamu alikuwa mzee wa miaka mingi, naye Mwenyezi-Mungu alikuwa amembariki katika kila hali. 2 Siku moja Abrahamu akamwambia mtumishi wake aliyekuwa mzee kuliko wengine na msimamizi…
Wazawa wengine wa Abrahamu 1 Abrahamu alioa mke mwingine, jina lake Ketura. 2 Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. 3 Yokshani alimzaa Sheba na Dedani; wazawa…
Isaka anahamia Gerari 1 Baadaye palitokea njaa nchini humo, njaa tofauti na ile ya hapo awali wakati wa uhai wa Abrahamu. Isaka akaenda Gerari kwa Abimeleki mfalme wa Wafilisti. 2…
Isaka anambariki Yakobo 1 Isaka alikuwa amezeeka na macho yake yalikuwa hayaoni. Basi, alimwita Esau mwanawe mkubwa, akamwambia, “Mwanangu!” Naye akaitika “Naam baba, nasikiliza!” 2 Isaka akasema, “Tazama, mimi ni…
1 Hivyo Isaka akamwita Yakobo, akambariki, akamwagiza akisema, “Usioe mwanamke yeyote Mkanaani. 2 Nenda Padan-aramu, nyumbani kwa babu yako Bethueli, ukaoe mmojawapo wa binti za mjomba wako Labani. 3 Mungu…
Yakobo anawasili kwa Labani 1 Yakobo aliendelea na safari yake, akafika katika nchi za watu wa mashariki. 2 Siku moja akaona kisima mbugani, na kando yake makundi matatu ya kondoo…
1 Raheli alipoona kwamba hajamzalia Yakobo watoto, alimwonea wivu Lea, dada yake, akamwambia Yakobo, “Nipatie watoto, la sivyo, nitakufa.” 2 Yakobo akamkasirikia Raheli sana na kumwambia, “Je, mimi nimekuwa badala…