Kutoka 1
Waisraeli wanateswa nchini Misri 1 Haya ndiyo majina ya watoto wa kiume wa Israeli,ambao walikwenda Misri, kila mmoja na jamaa yake: 2 Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, 3 Isakari, Zebuluni, Benyamini,…
Waisraeli wanateswa nchini Misri 1 Haya ndiyo majina ya watoto wa kiume wa Israeli,ambao walikwenda Misri, kila mmoja na jamaa yake: 2 Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, 3 Isakari, Zebuluni, Benyamini,…
Mtoto Mose anaokotwa mtoni Nili 1 Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi. 2 Basi, mama huyu akapata mimba,…
Mungu anamwita Mose 1 Siku moja, Mose alikuwa anachunga kundi la kondoo la baba mkwe wake, Yethro, kuhani wa Midiani. Mose alilipeleka kundi hilo upande wa magharibi wa jangwa, akaufikia…
Mose apewa uwezo wa kufanya miujiza 1 Mose akamwambia Mungu, “Lakini Waisraeli hawataniamini wala kunisikiliza, bali watasema kuwa wewe Mwenyezi-Mungu hukunitokea.” 2 Hapo Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Unashika nini mkononi mwako?”…
Mose na Aroni mbele ya Farao 1 Baadaye, Mose na Aroni walimwendea Farao, wakamwambia, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli anasema hivi, ‘Waache watu wangu waondoke, wakanifanyie sikukuu jangwani.’” 2 Lakini Farao…
1 Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu Mose, “Sasa utaona jinsi nitakavyomtenda Farao; maana kwa nguvu atalazimika kuwaacha watu wangu watoke. Naam, kwa nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.” Mungu anamwita Mose 2 Mungu…
1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Tazama, mimi nakufanya kuwa kama mungu kwa Farao, naye ndugu yako Aroni atakuwa nabii wako. 2 Utamwambia ndugu yako Aroni mambo yote nitakayokujulisha, naye Aroni nduguyo,…
Pigo la pili: Vyura 1 Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie Mwenyezi-Mungu asema hivi: Waache watu wangu waondoke ili wanitumikie. 2 Lakini ukikataa kuwaacha waondoke, basi, nitaipiga nchi…
Pigo la tano: Vifo vya mifugo 1 Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie kwamba mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Waebrania, nasema, ‘Waache watu wangu waondoke ili wakanitumikie. 2 Kama…
Pigo la nane: Nzige 1 Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao. Mimi nimemfanya kuwa mkaidi na maofisa wake ili nipate kutenda ishara hizi miongoni mwao, 2 ili nyinyi mpate kuwasimulia…