1 Samueli 5
Sanduku la agano kati ya Wafilisti 1 Baada ya Wafilisti kuliteka sanduku la Mungu, walilibeba kutoka mji wa Ebenezeri hadi mji wao wa Ashdodi. 2 Kisha, wakalipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu…
Sanduku la agano kati ya Wafilisti 1 Baada ya Wafilisti kuliteka sanduku la Mungu, walilibeba kutoka mji wa Ebenezeri hadi mji wao wa Ashdodi. 2 Kisha, wakalipeleka sanduku la Mwenyezi-Mungu…
Sanduku la agano linarudishwa 1 Baada ya sanduku la Mwenyezi-Mungu kukaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa miezi saba, 2 Wafilisti waliwaita makuhani na waaguzi wao na kuwauliza, “Tufanyeje…
1 Kisha, watu wa Kiriath-yearimu wakaenda na kulichukua sanduku la Mwenyezi-Mungu, wakalipeleka nyumbani kwa Abinadabu, aliyeishi milimani. Wakamweka wakfu mtoto wake wa kiume aliyeitwa Eleazari ili alitunze sanduku hilo. Samueli…
Waisraeli wanaomba wawe na mfalme 1 Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli. 2 Mtoto wake wa kwanza wa kiume aliitwa Yoeli, na wa pili…
Shauli anakutana na Samueli 1 Katika kabila la Benyamini, kulikuwa na mtu mmoja tajiri aliyeitwa Kishi. Yeye alikuwa mtoto wa Abieli, mwana wa Zero, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia…
1 Ndipo Samueli akachukua chupa ndogo ya mafuta akammiminia Shauli kichwani, akambusu na kumwambia, “Mwenyezi-Mungu amekutia mafuta uwe mtawala juu ya watu wake. 2 Leo tutakapoagana, utakutana na watu wawili…
Shauli anawashinda Waamoni 1 Kisha mfalme Nahashi wa Waamoni, alikwenda na kuuzingira mji wa Yabesh-gileadi. Wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi wakamwambia Nahashi, “Fanya mapatano nasi, nasi tutakutumikia.” 2 Lakini akawaambia,…
Samueli anawahutubia Waisraeli 1 Samueli akawaambia Waisraeli wote, “Yote mliyoniambia, nimeyasikiliza. Nimemtawaza mfalme juu yenu. 2 Sasa, mnaye mfalme wa kuwaongoza. Kwa upande wangu, mimi ni mzee mwenye mvi, na…
Vita dhidi ya Wafilisti 1 Shauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadhaalipoanza kutawala. Na alitawala Israeli kwa muda wa miaka … miwili. 2 Shauli aliwachagua Waisraeli 3,000. Kati…
Kitendo cha ujasiri cha Yonathani 1 Siku moja, Yonathani mwana wa mfalme Shauli alimwambia kijana aliyembebea silaha, “Njoo, twende ngambo kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini Yonathani hakumwambia baba yake. 2…