2 Wafalme 18
Mfalme Hezekia wa Yuda 1 Katika mwaka wa tatu wa enzi ya Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala; 2 alikuwa…
Mfalme Hezekia wa Yuda 1 Katika mwaka wa tatu wa enzi ya Hoshea mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala; 2 alikuwa…
Mfalme aomba shauri kwa Isaya 1 Mfalme Hezekia alipopata habari hizo, alirarua mavazi yake, akavaa gunia akaingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. 2 Aliwaamuru Eliakimu, mkuu wa ikulu, Shebna, katibu, na…
Kuugua na kupona kwa mfalme Hezekia 1 Wakati huo Hezekia aliugua sana karibu na kufa. Ndipo nabii Isaya, mwana wa Amozi alipomwendea na kumwambia, “Hivi ndivyo anavyosema Mwenyezi-Mungu; ‘Panga mambo…
Mfalme Manase wa Yuda 1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala Yuda, akatawala kutoka Yerusalemu kwa muda wa miaka hamsini na mitano. 2 Alitenda maovu…
Mfalme Yosia wa Yuda 1 Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala huko Yerusalemu, akatawala kwa miaka thelathini na mmoja. Mama yake alikuwa Yedida, binti Adaya, mkazi wa…
Mfalme Yosia aondoa ibada za miungu 1 Kisha mfalme alituma wajumbe, nao wakamkusanyia viongozi wote wa Yuda na wa Yerusalemu. 2 Naye mfalme akaenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu akifuatana na…
1 Nebukadneza mfalme wa Babuloni aliishambulia Yuda. Yehoyakimu, alimtumikia kwa miaka mitatu halafu aliacha kumtii, akamwasi. 2 Basi, Mwenyezi-Mungu akampelekea makundi ya Wababuloni, Waaramu, Wamoabu na Waamoni washambulie nchi ya…
Maangamizi ya Yerusalemu 1 Katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi wa mwaka wa tisa wa utawala wake Sedekia, Nebukadneza mfalme wa Babuloni alifika na jeshi lake, akaushambulia mji…
Toka Adamu hadi Abrahamu 1 Adamu alimzaa Sethi, Sethi akamzaa Enoshi, Enoshi akamzaa Kenani, 2 Kenani akamzaa Mahalaleli, Mahalaleli akamzaa Yaredi, 3 Yaredi akamzaa Henoki, Henoki akamzaa Methusela. Methusela alimzaa…
Wazawa wa Yuda 1 Israeli alikuwa na wana wa kiume kumi na wawili: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuluni, 2 Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri. 3 Wana wa…