Ezra 8
Watu waliorudi kutoka uhamishoni 1 Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa koo za watu waliorudi pamoja nami Ezrakutoka Babuloni, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta: 2 Gershomu, wa ukoo wa…
Watu waliorudi kutoka uhamishoni 1 Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa koo za watu waliorudi pamoja nami Ezrakutoka Babuloni, wakati wa utawala wa mfalme Artashasta: 2 Gershomu, wa ukoo wa…
Waisraeli wanaoa wanawake wa kigeni 1 Baada ya mambo haya yote kutendeka, viongozi walinijia na kunipa taarifa ifuatayo: “Watu wa Israeli, makuhani na Walawi hawajajitenga na wakazi wa nchi ambao…
Kuoa wanawake wa kigeni ni marufuku 1 Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama huku analia na kujiangusha kifudifudi mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa watu wa Israeli, wanaume,…
1 Lifuatalo ni simulizi la Nehemia, mwana wa Hakalia. Jukumu la Nehemia kuhusu Yerusalemu Ikawa, nilipokuwa katika mji mkuu wa Susa, katika mwezi wa Kislevu wa mwaka wa ishirini, 2…
Nehemia anakwenda Yerusalemu 1 Katika mwezi wa Nisani, katika mwaka wa ishirini wa utawala wa mfalme Artashasta, wakati divai ilipokuwa mbele yake, nilichukua divai na kumpelekea mkononi mwake. Kamwe sikuwahi…
Ukuta wa Yerusalemu unajengwa upya 1 Basi Lango la Kondoo lilijengwa upya na Eliashibu, kuhani mkuu, pamoja na ndugu zake waliokuwa makuhani. Waliliweka wakfu na kutia milango yake; wakaliweka wakfu…
Nehemia anashinda upinzani 1 Sanbalati aliposikia kuwa tumeanza kazi ya kuujenga upya ukuta, alikasirika sana, akaanza kutukebehi, 2 mbele ya rafiki zake na majeshi ya Wasamaria, akisema, “Hawa Wayahudi wanyonge…
Maskini wanadhulumiwa 1 Baada ya muda kulitokea malalamiko miongoni mwa watu, wanaume kwa wanawake, wakiwalalamikia ndugu zao Wayahudi. 2 Kulitokea waliosema, “Tafadhali tupatie nafaka tule ili tuweze kuishi kwa kuwa…
Njama za kumwangamiza Nehemia 1 Kisha Sanbalati, Tobia, Geshemu, Mwarabu na adui zetu wengine, waliposikia kuwa tumemaliza ujenzi wa ukuta na kwamba hakuna mapengo yoyote (ingawa tulikuwa bado hatujaweka milango…
1 Baada ya ukuta kukamilika, malango yote kuwa tayari, na kuteuliwa kwa walinzi, waimbaji na Walawi, 2 nilimteua ndugu yangu Hanani kuwa mwangalizi wa Yerusalemu akishirikiana na Hanania aliyekuwa mkuu…