Esta 5
Esta awaalika mfalme na Hamani karamuni 1 Siku ya tatu ya mfungo wake, Esta alivalia mavazi yake ya kimalkia, akaenda akasimama katika ua wa ndani wa nyumba ya mfalme, kuelekea…
Esta awaalika mfalme na Hamani karamuni 1 Siku ya tatu ya mfungo wake, Esta alivalia mavazi yake ya kimalkia, akaenda akasimama katika ua wa ndani wa nyumba ya mfalme, kuelekea…
Mordekai atunukiwa heshima na mfalme 1 Usiku huo, mfalme hakupata usingizi. Basi, akaamuru kitabu cha kumbukumbu za matukio ya kila siku kiletwe, nacho kikasomwa mbele yake. 2 Ikaonekana ilivyoandikwa jinsi…
1 Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta. 2 Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mfalme akamwuliza tena Esta, “Sasa, malkia Esta, unataka nini? Niambie, nawe…
Wayahudi waruhusiwa kujihami 1 Siku hiyohiyo, mfalme Ahasuero alimkabidhi malkia Esta mali yote ya Hamani, adui ya Wayahudi. Esta akamjulisha mfalme kwamba Mordekai ni jamaa yake. Basi, tangu wakati huo,…
Wayahudi wawashinda adui zao 1 Siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, ilipofika, siku ambayo tangazo la mfalme lingetekelezwa, na maadui wa…
Ukuu wa Ahasuero na Mordekai 1 Mfalme Ahasuero alitoza kodi watu wa bara na pwani. 2 Matendo yake yote makuu na ya ajabu, pamoja na simulizi kamili kuhusu jinsi alivyompandisha…
Shetani amjaribu Yobu 1 Palikuwa na mtu mmoja nchini Usi, aitwaye Yobu. Mtu huyo alikuwa mwema na mnyofu; mtu mcha Mungu na mwenye kuepukana na uovu. 2 Yobu alikuwa na…
Jaribio la pili 1 Ikatokea tena siku nyingine, malaika wa Mungu walikwenda kukutana mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye Shetani akajitokeza pia pamoja nao. 2 Mwenyezi-Mungu akamwuliza Shetani, “Umetoka wapi wewe?” Naye…
Yobu analalamika 1 Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa. 2 Yobu akasema: 3 “Ilaaniwe siku ile niliyozaliwa; usiku ule iliposemwa, ‘Mwana amechukuliwa mimba’ 4 Siku hiyo na iwe giza!…
Hoja ya Elifazi 1 Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu: 2 “Je, mtu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani awezaye kujizuia kusema? 3 Sikiliza! Wewe umewafundisha wengi, na kuiimarisha mikono…