Esta 5

Esta awaalika mfalme na Hamani karamuni 1 Siku ya tatu ya mfungo wake, Esta alivalia mavazi yake ya kimalkia, akaenda akasimama katika ua wa ndani wa nyumba ya mfalme, kuelekea…

Esta 6

Mordekai atunukiwa heshima na mfalme 1 Usiku huo, mfalme hakupata usingizi. Basi, akaamuru kitabu cha kumbukumbu za matukio ya kila siku kiletwe, nacho kikasomwa mbele yake. 2 Ikaonekana ilivyoandikwa jinsi…

Esta 7

1 Hivyo mfalme na Hamani wakaenda kula karamu na malkia Esta. 2 Katika siku ya pili, walipokuwa wanakunywa divai, mfalme akamwuliza tena Esta, “Sasa, malkia Esta, unataka nini? Niambie, nawe…

Esta 8

Wayahudi waruhusiwa kujihami 1 Siku hiyohiyo, mfalme Ahasuero alimkabidhi malkia Esta mali yote ya Hamani, adui ya Wayahudi. Esta akamjulisha mfalme kwamba Mordekai ni jamaa yake. Basi, tangu wakati huo,…

Esta 9

Wayahudi wawashinda adui zao 1 Siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, yaani mwezi wa Adari, ilipofika, siku ambayo tangazo la mfalme lingetekelezwa, na maadui wa…

Esta 10

Ukuu wa Ahasuero na Mordekai 1 Mfalme Ahasuero alitoza kodi watu wa bara na pwani. 2 Matendo yake yote makuu na ya ajabu, pamoja na simulizi kamili kuhusu jinsi alivyompandisha…

Yobu 1

Shetani amjaribu Yobu 1 Palikuwa na mtu mmoja nchini Usi, aitwaye Yobu. Mtu huyo alikuwa mwema na mnyofu; mtu mcha Mungu na mwenye kuepukana na uovu. 2 Yobu alikuwa na…

Yobu 2

Jaribio la pili 1 Ikatokea tena siku nyingine, malaika wa Mungu walikwenda kukutana mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye Shetani akajitokeza pia pamoja nao. 2 Mwenyezi-Mungu akamwuliza Shetani, “Umetoka wapi wewe?” Naye…

Yobu 3

Yobu analalamika 1 Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa. 2 Yobu akasema: 3 “Ilaaniwe siku ile niliyozaliwa; usiku ule iliposemwa, ‘Mwana amechukuliwa mimba’ 4 Siku hiyo na iwe giza!…

Yobu 4

Hoja ya Elifazi 1 Kisha Elifazi yule Mtemani akamjibu Yobu: 2 “Je, mtu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani awezaye kujizuia kusema? 3 Sikiliza! Wewe umewafundisha wengi, na kuiimarisha mikono…