Zaburi 3
Kuomba msaada asubuhi (Zaburi ya Daudi alipomkimbia Absalomu) 1 Ee Mwenyezi-Mungu, tazama walivyo wengi adui zangu, ni wengi mno hao wanaonishambulia. 2 Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”…
Kuomba msaada asubuhi (Zaburi ya Daudi alipomkimbia Absalomu) 1 Ee Mwenyezi-Mungu, tazama walivyo wengi adui zangu, ni wengi mno hao wanaonishambulia. 2 Wengi wanasema juu yangu, “Hatapata msaada kwa Mungu.”…
Kuomba msaada jioni (Kwa Mwimbishaji: Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi) 1 Ee Mungu mtetezi wa haki yangu, unijibu niombapo. Nilipokuwa katika shida, wewe ulinisaidia; unionee huruma…
Sala wakati wa hatari (Kwa Mwimbishaji: Na filimbi. Zaburi ya Daudi) 1 Usikilize maneno yangu, ee Mwenyezi-Mungu, usikie ninavyopiga kite. 2 Usikilize kilio changu, Mfalme wangu na Mungu wangu, maana…
Sala wakati wa taabu (Kwa Mwimbishaji: Na ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa Sheminithi. Zaburi ya Daudi) 1 Ee Mwenyezi-Mungu, usinikemee kwa hasira yako; usiniadhibu kwa ghadhabu yako. 2…
Sala ya mtu anayedhulumiwa (Ombolezo la Daudi kwa sababu ya Kushi wa kabila la Benyamini) 1 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, nakimbilia usalama kwako; uniokoe na wote wanaonidhulumu, unisalimishe. 2 La…
Utukufu wa Mungu na cheo cha binadamu (Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa Gitithi. Zaburi ya Daudi) 1 Ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wetu, kweli jina lako latukuka duniani kote! Utukufu wako waenea mpaka…
Shukrani kwa Mungu (Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa Muth-labeni. Zaburi ya Daudi) 1 Nitakushukuru Mungu kwa moyo wangu wote; nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu. 2 Nitafurahi na kushangilia kwa sababu…
Sala dhidi ya udhalimu 1 Ee Mwenyezi-Mungu, mbona wasimama mbali? Kwa nini wajificha wakati tumo taabuni? 2 Kwa kiburi waovu wanawatesa maskini; njama zao ziwanase wao wenyewe. 3 Mwovu hujisifia…
Kumtumainia Mungu (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Daudi) 1 Kwake Mwenyezi-Mungu nakimbilia usalama; mnawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege, mpaka milimani, 2 maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya…
Kuomba msaada (Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa Sheminithi. Zaburi ya Daudi) 1 Fanya haraka, ee Mwenyezi-Mungu! Watu wema wamekwisha; waaminifu wametoweka miongoni mwa watu. 2 Kila mmoja humdanganya mwenzake, husema kwa…