Zaburi 43
Sala ya mkimbizi yaendelea (Zaburi ya 42 yaendelea) 1 Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu. 2 Nakimbilia…
Sala ya mkimbizi yaendelea (Zaburi ya 42 yaendelea) 1 Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu. 2 Nakimbilia…
Sala ya kuomba ulinzi wa Mungu (Kwa Mwimbishaji. Utenzi wa Wakorahi) 1 Ee Mungu, sisi tumesikia kwa masikio yetu, wazee wetu wametusimulia mambo uliyotenda nyakati zao, naam, mambo uliyotenda hapo…
Utenzi wa kumsifu mfalme (Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa Yungiyungi. Utenzi wa Wakorahi; utenzi wa mapenzi) 1 Moyo wangu umejaa mawazo mema: Namtungia mfalme shairi langu, ulimi wangu ni kama kalamu…
Mungu yuko upande wetu (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Wakorahi. Mtindo wa Alamothi) 1 Mungu ni kimbilio letu na nguvu yetu; yeye ni msaada wetu daima wakati wa taabu. 2 Kwa…
Mungu, Mfalme wa ulimwengu wote (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Wakorahi) 1 Enyi watu wote, pigeni makofi! Msifuni Mungu kwa sauti za shangwe! 2 Maana Mwenyezi-Mungu, Mungu Mkuu, anatisha. Yeye ni…
Siyoni mji wa Mungu (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Wakorahi) 1 Mwenyezi-Mungu, ni mkuu; astahili kusifiwa sana katika mji wake na mlima wake mtakatifu. 2 Mlima Siyoni huko kaskazini, wapendeza kwa…
Upumbavu wa kutegemea mali (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Wakorahi) 1 Sikieni jambo hili enyi watu wote! Tegeni sikio enyi wakazi wote wa dunia; 2 sikilizeni nyote, wakubwa kwa wadogo, matajiri…
Ibada ya kweli (Zaburi ya Asafu) 1 Mungu wa nguvuMwenyezi-Mungu, amenena, amewaita wakazi wa dunia, tokea mawio ya jua hadi machweo yake. 2 Kutoka Siyoni, mji mzuri mno, Mungu anajitokeza,…
Kuomba msamaha (Kwa Mwimbishaji. Zaburi ya Daudi baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kosa lake na Bathsheba) 1 Nihurumie, Ee Mungu, kadiri ya fadhili zako; ufutilie mbali makosa yangu,…
Hukumu ya Mungu (Kwa Mwimbishaji. Utenzi wa Daudi baada ya Doegi, Mwedomu, kumwendea Shauli na kumjulisha kuwa Daudi amekwenda nyumbani kwa Abimeleki) 1 Mbona, ewe jitu, wajivunia ubaya wako dhidi…