Mhubiri 12
1 Umkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku na miaka ambapo utasema: “Sifurahii tena vitu hivyo!” 2 Umkumbuke kabla ya wakati ambapo kwako mwanga wa jua utafifia;…
1 Umkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku na miaka ambapo utasema: “Sifurahii tena vitu hivyo!” 2 Umkumbuke kabla ya wakati ambapo kwako mwanga wa jua utafifia;…
1 Wimbo wa Solomoniulio bora kuliko nyimbo zote. Shairi la kwanza Bibi arusi 2 Heri midomo yako inibusu, maana pendo lako ni bora kuliko divai. 3 Manukato yako yanukia vizuri,…
1 Mimi ni ua la Sharoni, ni yungiyungi ya bondeni. Bwana arusi 2 Kama yungiyungi kati ya michongoma, ndivyo alivyo mpenzi wangu kati ya wasichana. Bibi arusi 3 Kama mtofaa…
1 Usiku nikiwa kitandani mwangu, niliota namtafuta nimpendaye moyoni mwangu; nilimtafuta, lakini sikumpata. 2 Niliamka nikazunguka mjini, barabarani na hata vichochoroni, nikimtafuta yule wangu wa moyo. Nilimtafuta, lakini sikumpata. 3…
Bwana arusi 1 Hakika u mzuri ewe mpenzi wangu, hakika u mzuri! Macho yako ni kama ya hua nyuma ya shela lako, nywele zako ni kama kundi la mbuzi washukao…
Bwana arusi 1 Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bi arusi. Nakusanya manemane na viungo, nala sega langu la asali, nanywa divai yangu na maziwa yangu. Bibi arusi Kuleni enyi marafiki,…
Wanawake 1 Ewe mwanamke uliye mzuri sana; amekwenda wapi huyo mpenzi wako? Ameelekea wapi mpenzi wako ili tupate kushirikiana nawe katika kumtafuta? Bibi arusi 2 Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,…
Bwana arusi 1 Nyayo zako katika viatu zapendeza sana! Ewe mwanamwali wa kifalme. Mapaja yako ya mviringo ni kama johari, kazi ya msanii hodari. 2 Kitovu chako ni kama bakuli…
1 Laiti ungekuwa kaka yangu, ambaye amenyonyeshwa na mama yangu! Hivyo, hata kama ningekutana nawe nje, ningekubusu na hakuna ambaye angenidharau. 2 Ningekuongoza na kukufikisha nyumbani kwa mama mzazi, mahali…
1 Maono aliyoyaona Isaya, mwana wa Amozi, kuhusu Yuda na mji wa Yerusalemu, nyakati za utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda. Mungu awakemea watu wake 2…