Isaya 62

1 Kwa ajili ya Siyoni sitakaa kimya, kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia, mpaka kuokolewa kwake kuchomoze kama umeme, wokovu wake utokeze kama mwenge. 2 Mataifa watauona wokovu wako, wafalme wote…

Isaya 63

Mungu awaadhibu maadui za watu wake 1 Ni nani huyu ajaye kutoka Edomu, anayefika kutoka Bosra na mavazi ya madoa mekundu? Ni nani huyo aliyevaa mavazi ya fahari, anatembea kwa…

Isaya 64

1 Laiti ungalizipasua mbingu ukashuka chini, milima ikakuona na kutetemeka kwa hofu! 2 Ingeteketea kama moto uchomavyo kichaka, kama vile moto uchemshavyo maji. Njoo upate kuwajulisha maadui zako jina lako…

Isaya 65

Mungu huwaadhibu waasi 1 Mwenyezi-Mungu asema; “Nilikuwa tayari kujionesha kwao wasiouliza habari zangu. Nilikuwa tayari kuwapokea wale wasionitafuta. Nililiambia taifa ambalo halikuomba kwa jina langu: ‘Nipo hapa! Nipo hapa!’ 2…

Isaya 66

Ibada ya uongo na ya kweli 1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha enzi, dunia ni kiti cha kuwekea miguu yangu. Mtanijengea nyumba ya namna gani basi, Mahali…

Yeremia 1

1 Yafuatayo ni maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani wa mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini. 2 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mnamo mwaka wa kumi…

Yeremia 2

Mungu awalinda Waisraeli 1 Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia: 2 “Nenda ukawatangazie waziwazi wakazi wote wa Yerusalemu kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Naukumbuka uaminifu wako ulipokuwa kijana, jinsi ulivyonipenda kama mchumba…

Yeremia 3

Mwisraeli asiye mwaminifu 1 “Mume akimpa talaka mkewe, naye akaondoka kwake, na kuwa mke wa mwanamume mwingine, je mume yule aweza kumrudia mwanamke huyo? Je, kufanya hivyo hakutaitia nchi unajisi…

Yeremia 4

Wito wa toba 1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Ukitaka kurudi ee Israeli, nirudie mimi. Ukiviondoa vitu vya kuchukiza mbele yangu, usipotangatanga huko na huko, 2 ukiapa kwa ukweli, unyofu na uadilifu,…

Yeremia 5

Dhambi ya Yerusalemu 1 Kimbieni huko na huko mjini Yerusalemu; pelelezeni na kujionea wenyewe! Chunguzeni masoko yake mwone kama kuna mtu atendaye haki mtu atafutaye ukweli; akiwako, basi Mwenyezi-Mungu atausamehe…