Yeremia 6

Yerusalemu imezingirwa na maadui 1 Enyi watu wa Benyamini, ondokeni Yerusalemu mkimbilie usalama! Pigeni tarumbeta mjini Tekoa; onesheni ishara huko Beth-hakeremu, maana maafa na maangamizi makubwa yanakuja kutoka upande wa…

Yeremia 7

Yeremia anahubiri hekaluni 1 Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama 2 kwenye lango la hekalu lake Mwenyezi-Mungu na kutangaza ujumbe huu: “Sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu enyi watu wa Yuda mnaoingia humu…

Yeremia 8

1 “Wakati huo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, mifupa ya wafalme wa Yuda, mifupa ya wakuu wao, mifupa ya makuhani, mifupa ya manabii na mifupa ya wakazi wote wa Yerusalemu itachimbuliwa makaburini…

Yeremia 9

1 Laiti kichwa changu kingekuwa kisima cha maji, na macho yangekuwa chemchemi ya machozi ili nipate kulia mchana na usiku, kwa ajili ya watu wangu waliouawa! 2 Laiti ningekuwa na…

Yeremia 10

Ibada za sanamu na ibada za kweli 1 Sikilizeni neno analowaambieni Mwenyezi-Mungu, enyi Waisraeli! 2 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Msijifunze mienendo ya mataifa mengine, wala msishangazwe na ishara za mbinguni; yaacheni…

Yeremia 11

Yeremia na agano 1 Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu; 2 “Sikiliza masharti ya agano hili, kisha nenda ukawatangazie watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu. 3 Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu,…

Yeremia 12

Yeremia anamhoji Mwenyezi-Mungu 1 Ee Mwenyezi-Mungu, wewe ni mwadilifu, ingawa nakulalamikia. Lakini ningependa kutoa hoja zangu mbele yako: Kwa nini waovu hufanikiwa katika mambo yao? Mbona wote wenye hila hustawi?…

Yeremia 13

Kikoi cha kitani 1 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Nenda ukajinunulie kikoi cha kitani, ukajifunge kiunoni; lakini usikitie majini.” 2 Basi, nikaenda, nikanunua kikoi kama alivyoniagiza Mwenyezi-Mungu, nikajifunga kiunoni. 3 Kisha, neno…

Yeremia 14

Ukame wa kutisha 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu ule ukame: 2 “Watu wa Yuda wanaomboleza, na malango yao yanalegea. Watu wake wanaomboleza udongoni na kilio cha Yerusalemu kinapanda…

Yeremia 15

Hukumu kwa watu wa Yuda 1 Kisha Mwenyezi-Mungu akaniambia: “Hata kama Mose na Samueli wangesimama mbele yangu na kunisihi, nisingewahurumia watu hawa. Waondoe kabisa mbele yangu. Waache waende zao! 2…