Yeremia 16

Upweke wa Yeremia 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia na kusema: 2 “Wewe hutaoa wala hutapata watoto mahali hapa. 3 Maana mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi juu ya watoto wa kiume na…

Yeremia 17

Dhambi na adhabu ya Yuda 1 “Dhambi ya watu wa Yuda, imeandikwa kwa kalamu ya chuma; kwa ncha ya almasi imechorwa mioyoni mwao na katika pembe za madhabahu zao, 2…

Yeremia 18

Yeremia nyumbani kwa mfinyanzi 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Yeremia, inuka uende nyumbani kwa mfinyanzi, na huko nitakupa maneno yangu.” 3 Basi, nikateremka mpaka nyumbani kwa mfinyanzi, nikamkuta mfinyanzi…

Yeremia 19

Gudulia lililovunjika 1 Mwenyezi-Mungu aliniambia: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kwa mfinyanzi. Kisha, wachukue baadhi ya wazee wa watu na baadhi ya makuhani viongozi, 2 halafu uende pamoja nao katika…

Yeremia 20

Ugomvi kati ya Yeremia na Pashuri 1 Kuhani Pashuri mwana wa Imeri, ambaye alikuwa ofisa mkuu wa nyumba ya Mwenyezi-Mungu, alimsikia Yeremia akitoa unabii huo. 2 Basi, Pashuri akampiga nabii…

Yeremia 21

Yerusalemu utashindwa 1 Hili ni neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu, wakati mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkia, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya, wamwambie Yeremia hivi: 2 “Tafadhali,…

Yeremia 22

Ujumbe juu ya jumba la kifalme la Yuda 1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Nenda katika ikulu ya mfalme wa Yuda, uwape watu ujumbe huu: 2 Wewe mfalme wa Yuda unayekikalia kiti…

Yeremia 23

Tumaini la baadaye 1 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” 2 Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli nasema hivi kuhusu wachungaji wanaowachunga watu wangu: Nyinyi…

Yeremia 24

Vikapu viwili vya tini 1 Baada ya Nebukadneza, mfalme wa Babuloni kuwahamisha Yekonia mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na viongozi wa Yuda, mafundi stadi na masonara, kutoka Yerusalemu…

Yeremia 25

Adui kutoka kaskazini 1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa mfalme Yehoyakimu mwana wa Yosia, katika Yuda, Mwenyezi-Mungu alinimpa mimi Yeremia ujumbe kuhusu watu wa Yuda. Mwaka huo ulikuwa…