Yeremia 26
Yeremia mahakamani 1 Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, katika nchi ya Yuda, Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia hivi: 2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya…
Yeremia mahakamani 1 Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, katika nchi ya Yuda, Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia hivi: 2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya…
Yeremia anavaa nira 1 Mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu. 2 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Yeremia, jitengenezee kamba na…
Yeremia na nabii Hanania 1 Mwaka uleule,mnamo mwezi wa tano wa mwaka wa nne wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, Hanania mwana wa Azuri, nabii kutoka mji wa Gibeoni,…
Barua ya Yeremia kwa Wayahudikule Babuloni 1 Ifuatayo ni barua ambayo nabii Yeremia aliwapelekea kutoka Yerusalemu wazee na makuhani, manabii na watu ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kutoka Yerusalemu akawapeleka uhamishoni…
Ahadi za Mungu kwa watu wote 1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu: 2 “Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Yaandike katika kitabu maneno yote niliyokuambia. 3 Maana siku…
Waisraeli wanarudi makwao 1 Mwenyezi-Mungu asema: “Wakati utakuja ambapo nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israeli nao watakuwa watu wangu. 2 Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Watu walionusurika kuuawa niliwaneemesha jangwani. Wakati…
Yeremia ananunua shamba 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yeremia mnamo mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa…
Ahadi nyingine ya matumaini 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mara nyingine, wakati alipokuwa bado amefungwa katika ukumbi wa walinzi: 2 Mwenyezi-Mungu aliyeiumba dunia, Mwenyezi-Mungu aliyeifanya na kuiimarisha dunia, ambaye…
Ujumbe kwa Sedekia 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, pamoja na jeshi lake lote na falme zote za dunia zilizokuwa chini yake, kadhalika na watu…
Yeremia na Warekabu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yeremia wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda: 2 “Nenda nyumbani kwa Warekabu, ukaongee nao. Kisha, walete katika…