Yeremia 26

Yeremia mahakamani 1 Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, katika nchi ya Yuda, Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia hivi: 2 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Simama katika ukumbi wa nyumba ya…

Yeremia 27

Yeremia anavaa nira 1 Mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu. 2 Mwenyezi-Mungu aliniambia hivi: “Yeremia, jitengenezee kamba na…

Yeremia 28

Yeremia na nabii Hanania 1 Mwaka uleule,mnamo mwezi wa tano wa mwaka wa nne wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, Hanania mwana wa Azuri, nabii kutoka mji wa Gibeoni,…

Yeremia 29

Barua ya Yeremia kwa Wayahudikule Babuloni 1 Ifuatayo ni barua ambayo nabii Yeremia aliwapelekea kutoka Yerusalemu wazee na makuhani, manabii na watu ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kutoka Yerusalemu akawapeleka uhamishoni…

Yeremia 30

Ahadi za Mungu kwa watu wote 1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu: 2 “Mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Yaandike katika kitabu maneno yote niliyokuambia. 3 Maana siku…

Yeremia 31

Waisraeli wanarudi makwao 1 Mwenyezi-Mungu asema: “Wakati utakuja ambapo nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israeli nao watakuwa watu wangu. 2 Mimi Mwenyezi-Mungu nasema: Watu walionusurika kuuawa niliwaneemesha jangwani. Wakati…

Yeremia 32

Yeremia ananunua shamba 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yeremia mnamo mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa…

Yeremia 33

Ahadi nyingine ya matumaini 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia mara nyingine, wakati alipokuwa bado amefungwa katika ukumbi wa walinzi: 2 Mwenyezi-Mungu aliyeiumba dunia, Mwenyezi-Mungu aliyeifanya na kuiimarisha dunia, ambaye…

Yeremia 34

Ujumbe kwa Sedekia 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia wakati Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, pamoja na jeshi lake lote na falme zote za dunia zilizokuwa chini yake, kadhalika na watu…

Yeremia 35

Yeremia na Warekabu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia Yeremia wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda: 2 “Nenda nyumbani kwa Warekabu, ukaongee nao. Kisha, walete katika…