Yeremia 36
Yehoyakimu anachoma hati aliyoandika Baruku 1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia: 2 “Chukua kitabu uandike…
Yehoyakimu anachoma hati aliyoandika Baruku 1 Mnamo mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia: 2 “Chukua kitabu uandike…
Sedekia anakwenda kuomba shauri kwa Yeremia 1 Mfalme Nebukadneza wa Babuloni alimtawaza Sedekia mwana wa Yosia, kuwa mfalme wa Yuda mahali pa Konia mwana wa Yehoyakimu. 2 Lakini Sedekia na…
Yeremia ndani ya kisima 1 Shefatia mwana wa Matani, Gedalia mwana wa Pashuri, mwana wa Malkia, walisikia maneno ambayo Yeremia aliwatangazia watu wote akisema, 2 “Mwenyezi-Mungu asema hivi: Yeyote atakayebaki…
Kutekwa kwa mji wa Yerusalemu 1 Mnamo mwezi wa tisa wa mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babuloni alifika na jeshi lake lote…
Yeremia anakaa na Gedalia 1 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi-Mungu wakati Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme, alipomruhusu Yeremia aondoke Rama. Huyo kapteni alimchukua Yeremia amefungwa minyororo, akawachukua pia…
1 Mnamo mwezi wa saba, Ishmaeli mwana wa Nethania, mjukuu wa Elishama, wa ukoo wa kifalme, mmoja wa maofisa wakuu wa mfalme, alifika Mizpa kwa Gedalia akiandamana na watu kumi….
Wananchi wanamsihi Yeremia awaombee 1 Kisha makamanda wote wa majeshi, Yohanani mwana wa Karea, na Azariamwana wa Heshaia pamoja na watu wote, wadogo kwa wakubwa, 2 wakamwendea Yeremia, wakamwambia, “Tafadhali…
Yeremia apelekwa Misri 1 Yeremia alipomaliza kuwaambia watu wote maneno yote ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, alimwamuru awatangazie, 2 Azaria mwana wa Hoshaia, Yohanani mwana wa Karea na watu wote mafidhuli,…
Ujumbe wa Mungu kwa Waisraeli nchini Misri 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yeremia kuhusu Wayahudi waliokuwa wanakaa nchini Misri katika miji ya Migdoli, Tahpanesi, Memfisi na sehemu ya Pathrosi: 2…
Ahadi ya Mungu kwa Baruku 1 Haya ndiyo maneno aliyotamka nabii Yeremia mnamo mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia naye Baruku mwana wa Neria akawa anayaandika…