Ezekieli 29
Unabii dhidi ya Misri 1 Siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kumi, mwaka wa kumi tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Mgeukie Farao mfalme…
Unabii dhidi ya Misri 1 Siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kumi, mwaka wa kumi tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Mgeukie Farao mfalme…
Mwenyezi-Mungu ataiadhibu Misri 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Toa unabii useme kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Ombolezeni na kusema: ‘Ole wetu siku ile!’ 3 Kwa maana,…
Misri inalinganishwa na mwerezi 1 Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa tatu, mwaka wa kumi na moja tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Mwambie hivi…
Farao analinganishwa na mamba 1 Siku ya kwanza ya mwezi wa kumi na mbili, mwaka wa kumi na mbili tangu uhamisho wetu, neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Imba…
Ezekieli atakuwa mlinzi 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Ongea na wananchi wenzako, uwaambie hivi: Kama nikizusha vita katika nchi fulani, na watu wa nchi hiyo wakamchagua mmoja…
Wachungaji wa Israeli 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Toa unabii dhidi ya wachungaji wa Israeli. Waambie hao wachungaji kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Ole wenu nyinyi…
Unabii juu ya Edomu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Ugeukie mlima Seiri, utoe unabii juu ya wakazi wake. 3 Uambie kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Mimi…
Mungu ataibariki Israeli 1 Mwenyezi-Mungu aliniambia: “Wewe mtu! Toa unabii kuhusu milima ya Israeli. Iambie isikilize maneno yangu 2 mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Maadui zenu wamewazomea na kusema kuwa…
Bonde la mifupa mikavu 1 Mimi Ezekieli nilikumbwa na uzito wa nguvu ya Mwenyezi-Mungu, naye akaninyanyua kwa roho yake na kuniweka katika bonde lililokuwa limejaa mifupa. 2 Basi, akanitembeza kila…
Mfalme Gogu chombo cha Mungu 1 Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Wewe mtu! Mgeukie Gogu mfalme wa nchi ya Magogu ambaye ni mtawala mkuu wa Mesheki na Tubali. 3 Toa…