Tobiti 12

Malaika Rafaeli 1 Baada ya sherehe za harusi, Tobiti alimwita mwanawe Tobia, akamwambia, “Mwanangu, hakikisha kwamba unamlipa rafiki yako aliyesafiri nawe mshahara wake na kumwongezea kitu.” 2 Tobia akamwuliza, “Baba,…

Tobiti 13

Wimbo wa Tobiti 1 Basi, Tobiti akasema utenzi huu: “Atukuzwe Mungu aishiye milele, maana utawala wake wadumu nyakati zote. 2 Yeye huadhibu na kusamehe; huwaporomosha watu chini katika makao ya…

Tobiti 14

1 Hapa yaishia maneno ya shukrani ya Tobiti. Mawaidha ya mwisho ya Tobiti 2 Tobiti alikufa kwa amani mwenye umri wa miaka 112, akazikwa kwa heshima huko Ninewi. Alikuwa na…

Yudithi 1

Vita kati ya Nebukadneza na Arfaksadi 1 Mfalme Nebukadneza alikuwa mfalme wa Waashuru. Makao yake makuu yalikuwa katika mji mashuhuri wa Ninewi. Wakati huo huo, mfalme Arfaksadi alikuwa akitawala Wamedi….

Yudithi 2

Vita dhidi ya mataifa ya magharibi 1 Mnamo mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, siku ya ishirini na moja ya mwezi wa kwanza, mfalme Nebukadneza pamoja na washauri…

Yudithi 3

Ujumbe wa amani kwa mfalme Nebukadneza 1 Watu wote wa eneo lote la magharibi wakampelekea mfalme Nebukadneza ujumbe wa amani, wakisema, 2 “Sisi tunabaki kuwa watiifu kwako mfalme mkuu Nebukadneza….

Yudithi 4

Waisraeli wanajihami 1 Watu wa Yuda walisikia jinsi Holoferne, kamanda wa majeshi ya mfalme Nebukadneza wa Waashuru, alivyoyatenda mataifa mengine. Walisikia jinsi alivyoteka na kuyabomolea mbali mahekalu yao. 2 Hivyo,…

Yudithi 5

Halmashauri ya vita kambini mwa Holoferne 1 Holoferne, jenerali wa jeshi la Ashuru, aliposikia kuwa watu wa Israeli wamejitayarisha kwa vita kwa kufunga njia za milimani, wamejenga ngome milimani, na…

Yudithi 6

Hotuba ya Holoferne 1 Baada ya ghasia zilizosababishwa na Akioro kwenye mkutano kutulia, Holoferne, jemadari wa jeshi la Ashuru, alimwambia Akioro, mbele ya wanajeshi wote wa kukodishwa kutoka pwani ya…

Yudithi 7

Mji wa Bethulia unazingirwa 1 Kesho yake, Holoferne akakusanya jeshi lake pamoja na wanajeshi wengine waliojiunga naye. Akaliagiza kwenda kuushambulia mji wa Bethulia, kushika njia zote za mlima na kuwashambulia…