Hekima ya Solomoni 12

1 Roho yako isiyokufa imo katika vitu vyote. 2 Kwa hiyo wawakosoa kwa taratibu wale wanaokukosea; na kuwakumbusha na kuwaonya juu ya yale wanayokukosea nayo, ili waachane na ubaya wao…

Hekima ya Solomoni 13

Upumbavu wa kuabudu viumbe 1 Watu wote ambao hawajapata kumjua Mungu ni wapumbavu mpaka ndani. Watu hao wameviona vitu vizuri vilivyopo, lakini wameshindwa kumjua Mungu ambaye ndiye hasa, anayeishi. Hutazama…

Hekima ya Solomoni 14

1 Tena mtu anajiandaa kusafiri kwa jahazi penye mawimbi baharini, naye anakiomba msaada kipande cha mti kibovu kuliko jahazi atakalosafiria! 2 Mtu fulani aliunda jahazi hilo ili kujipatia faida, fundi…

Hekima ya Solomoni 15

Mungu wa kweli 1 Lakini wewe, Mungu wetu, ni mwenye wema na kweli, wewe ni mvumilivu na watawala vyote kwa huruma. 2 Hata tukitenda dhambi twajua nguvu yako, nasi tu…

Hekima ya Solomoni 16

Mapigo ya Wamisri 1 Kwa hiyo, watu hao waliadhibiwa kwa viumbe hivyohivyo kama walivyostahili; naam, waliteswa kwa makundi ya viumbe hao. 2 Lakini wewe, ee Bwana, badala ya kuwaadhibu hivyo…

Hekima ya Solomoni 17

Wamisri wanavamiwa na kitisho usiku 1 Naam, hukumu zako ni kuu mno na ngumu kueleza; ndiyo maana wasiotaka kufunzwa hupotea. 2 Maana watu wakorofi walipodhani wamelitia taifa lako chini ya…

Hekima ya Solomoni 18

Mwanga wawaangazia watu wa Israeli 1 Lakini, mwanga mkubwa uliwaangazia watu wako watakatifu. Maadui zao walisikia sauti zao lakini hawakuweza kuwaona; waliona watu wako wana bahati kwa vile hawakuteseka. 2…

Hekima ya Solomoni 19

Wamisri na Waisraeli kwenye Bahari ya Shamu 1 Hasira yako isiyo na upeo iliwajia wale waovu bila huruma. Wewe ulijua kabla mambo yale ambayo walikuwa wanataka kuyafanya. 2 Ulijua kwamba…

Sira 1

Sifa kwa Hekima 1 Hekima yote hutoka kwa Bwana, nayo imo kwake hata milele. 2 Nani awezaye kuuhesabu mchanga wa pwani au matone ya mvua? Nani awezaye kuzihesabu siku za…

Sira 2

Uaminifu kwa Mungu 1 Mwanangu, ukienda kumtumikia Bwana, uwe tayari kupata majaribu. 2 Uwe mnyofu wa moyo na nia moja; na usihangaike wakati wa taabu. 3 Ambatana na Bwana wala…